Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaijin that is not possible... Inaruhusiwa kuomba mtu akufanyie dedication??? If YES... Naomba dedication toka kwako ya Msondo..
Lol!!! Kuna haja ya kuwa Invisible duh sijui how do you trace my marks
Hivi Gaijin wakati wa kucheza ikifika hapo watu huwa kweli wanafuata hayo maaneno kivitendo lol!!Hilo umepata ngoja nimwage lyrics
"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"
Hilo umepata ngoja nimwage lyrics
"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"
Hivi Gaijin wakati wa kucheza ikifika hapo watu huwa kweli wanafuata hayo maaneno kivitendo lol!!
Please do the needful nisikie na sauti yake...... Yaani maneno yamenifanya nihisi nimekosa uhondo mwenyewe...
Gaijin Gaijin.........unanifanyia makusudi naona.....
Tobaaa makusudi ya nini tena?
kwani ile dedication ya mwanza kwenye hii thread haikuwa kwa ajili yako? 😀
hapana,
ila ulipoimba hizo nyimbo zako
za 'kuchanua chanu
na daktari yu waja......akili yangu imevurugika..
natafuta ile apple nyeupe now na natafuta pm yako siioni..lol
Hilo umepata ngoja nimwage lyrics
"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"
Bee yupo wapi aone gunia la mkaa limetupwa huko! hahaha
Boss lazima tuenzi utamaduni wetu ati .....
"mwiba ule pale, naogopa kujichoma mie
Pembeni kuna mwiba, naogopa kujichoma mie
Boss nipe panadol naona homa weee
Boss nipe panadol naumwa homa
wanaona donge wee, wanaona donge wee
hata akiwa kilema, nimempenda mwenyewe
hata akiwa nachongo, nimempenda mwenyewe
hata akiwa hawezi, nimempenda mwenyewe
hata akiwa kibutu, nimempenda mwenyewe
lol
mwalimu umenikumbusha kuruka kamba na hiyo line ya mwisho,lol. saa hizo kisketi changu nimekikunja kunja kisinikoseshe, kwa raha zangu. today,i wish i was 10 yrs old
an ipad for you....seriously....
hiko kipande cha 'Boss nipe panadol'
nitaota usiku lol
hahahaha Bee yupo wapi weee amuone Boss leo!
Boss umeombwa panadol utaota usiku, jee ukiombwa banduki si utaweweseka kabisa! huuuuuh
panadol sio ndio hiyo hiyo bunduki..?
kumbe mimi nimetangulia kwa kutafsiri lol
Hii link nnayokupa ni moja ya nyimbo maarufu za "kidumbak" ....lol
but wewe nenda kuanzia dakika ya 5:10
Zanzibar (Unguja) Kidumbak Kalcha - Sasa Sinaye - YouTube
Can we go to the days our
love was strong
can you tell me how a perfect love goes wrong
can somebody tell how to get things back
the way they use to be
oh God give me a reason
i'm down on bended knee
i'll never walk again until you come back to me
i'm down on bended knee
so many nights i dream of you
hold my pillow tight
i know i don't need to be alone
when i open up my eyes to face reality
every moment without you it seems like eternity
i'm begging you,begging you
come back to me.
Bended knee by boys2men
dedication to my hubby he is a member of jf.