Bended knee

Bended knee

Hilo umepata ngoja nimwage lyrics


"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"
Hivi Gaijin wakati wa kucheza ikifika hapo watu huwa kweli wanafuata hayo maaneno kivitendo lol!!
 
Hilo umepata ngoja nimwage lyrics


"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"



Please do the needful nisikie na sauti yake...... Yaani maneno yamenifanya nihisi nimekosa uhondo mwenyewe...
 
Hivi Gaijin wakati wa kucheza ikifika hapo watu huwa kweli wanafuata hayo maaneno kivitendo lol!!

Hapo ikifika unachanua kimchezo.....kama unaenda kasi hapo unabadili mapigo unaenda kufuata neno baada ya neno. chanu chanu chaa 🙂 lol

Kisha ukute baada part hiyo inaunganishwa na

"daktari huyo yuwaja, daktari huyo yuwaja, aja kitia dawa kidonda" hahaha ....
 
Tobaaa makusudi ya nini tena?

kwani ile dedication ya mwanza kwenye hii thread haikuwa kwa ajili yako? 😀

hapana,
ila ulipoimba hizo nyimbo zako
za 'kuchanua chanu
na daktari yu waja......akili yangu imevurugika..
natafuta ile apple nyeupe now na natafuta pm yako siioni..lol
 
hapana,
ila ulipoimba hizo nyimbo zako
za 'kuchanua chanu
na daktari yu waja......akili yangu imevurugika..
natafuta ile apple nyeupe now na natafuta pm yako siioni..lol

Bee yupo wapi aone gunia la mkaa limetupwa huko! hahaha

Boss lazima tuenzi utamaduni wetu ati .....

"mwiba ule pale, naogopa kujichoma mie
Pembeni kuna mwiba, naogopa kujichoma mie

Boss nipe panadol naona homa weee
Boss nipe panadol naumwa homa

wanaona donge wee, wanaona donge wee
hata akiwa kilema, nimempenda mwenyewe
hata akiwa nachongo, nimempenda mwenyewe
hata akiwa hawezi, nimempenda mwenyewe
hata akiwa kibutu, nimempenda mwenyewe

lol
 
mwalimu umenikumbusha kuruka kamba na hiyo line ya mwisho,lol. saa hizo kisketi changu nimekikunja kunja kisinikoseshe, kwa raha zangu. today,i wish i was 10 yrs old

Hilo umepata ngoja nimwage lyrics


"Kaka Haji wee, unafanya vibaya weee, Kaka Haji wawalia wenzio
Donge lote ukanipa kidogo mkononi kuonja, donge lote ukanipa 'aha aha aha'
Huo mtende unachanua, huo mtende unachanua, wakati wa kuchanua huchanua chanu chanu chanu chaa"
 
Bee yupo wapi aone gunia la mkaa limetupwa huko! hahaha

Boss lazima tuenzi utamaduni wetu ati .....

"mwiba ule pale, naogopa kujichoma mie
Pembeni kuna mwiba, naogopa kujichoma mie

Boss nipe panadol naona homa weee
Boss nipe panadol naumwa homa

wanaona donge wee, wanaona donge wee
hata akiwa kilema, nimempenda mwenyewe
hata akiwa nachongo, nimempenda mwenyewe
hata akiwa hawezi, nimempenda mwenyewe
hata akiwa kibutu, nimempenda mwenyewe

lol

an ipad for you....seriously....
hiko kipande cha 'Boss nipe panadol'
nitaota usiku lol
 
mwalimu umenikumbusha kuruka kamba na hiyo line ya mwisho,lol. saa hizo kisketi changu nimekikunja kunja kisinikoseshe, kwa raha zangu. today,i wish i was 10 yrs old

Hehehe mwaya mwenzio hukusanya all my nieces nikajifungia uwanjani nikacheza. ......na hupania sketi uzuri sana.

You only live once, jipe raha ati :]]
 
an ipad for you....seriously....
hiko kipande cha 'Boss nipe panadol'
nitaota usiku lol

hahahaha Bee yupo wapi weee amuone Boss leo!

Boss umeombwa panadol utaota usiku, jee ukiombwa banduki si utaweweseka kabisa! huuuuuh
 
hahahaha Bee yupo wapi weee amuone Boss leo!

Boss umeombwa panadol utaota usiku, jee ukiombwa banduki si utaweweseka kabisa! huuuuuh

panadol sio ndio hiyo hiyo bunduki..?
kumbe mimi nimetangulia kwa kutafsiri lol
 
panadol sio ndio hiyo hiyo bunduki..?
kumbe mimi nimetangulia kwa kutafsiri lol

Hahahh .........looh hatari!

Kumbe ina maana sawa eee........coz moja meona inaponyesha moja inauwa 😛 😛

Ila inabidi kuanzia sasa nifanyie censorship maana wasije watu zaidi wakaota
 
Can we go to the days our
love was strong
can you tell me how a perfect love goes wrong
can somebody tell how to get things back
the way they use to be
oh God give me a reason
i'm down on bended knee
i'll never walk again until you come back to me
i'm down on bended knee

so many nights i dream of you
hold my pillow tight
i know i don't need to be alone
when i open up my eyes to face reality
every moment without you it seems like eternity
i'm begging you,begging you
come back to me.

Bended knee by boys2men
dedication to my hubby he is a member of jf.


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom