Bendera na nembo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kubadilishwa, wananchi washirikishwe!

Bendera na nembo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kubadilishwa, wananchi washirikishwe!

Nchi zamEast Africa ndio zinahiitaji zaidi Tanzania, Tanzania ndio kiungo cha nchi hizo zote, Kenya kapakana na Uganda, Tanzania na SS pekee, Tanzania imepakana na nchi zote za EA ukitoa Mgeni SS, so Umuhimu wa tanzania ni mkubwa hapo
Hizo nchi ziishie huko huko kwao.
 
Kenya is the WHITE first class puppet ndio mana they are sick and die for the sake of pleasing muzungu, a slave in mind is a slave indeed.
Rejelea matukio yafuatayo....
1. Choices have consequences
2. Terror hotbed(CNN)
3. Gay rights is a non issue.
 
Kenya is the WHITE first class puppet ndio mana they are sick and die for the sake of pleasing muzungu, a slave in mind is a slave indeed.

Wewe unaumia nini, nyie Kenya ni Vibaraka Wa wazungu.
Kang'ura!Wakati babu zetu walipokuwa wanachinjana na kupigana risasi na mkoloni watanzania mlifanya nini zaidi ya kushirikisha wachawi ili wapambane na mzungu?Eti mna nyunyiziwa maji vifuani na mganga ili mwingie vita vya bunduki na rungu?Shenzi type,waoga nyie!Ndo maana hadi sasa hivi,miaka hamsini baadae,sisiemu wakiwaambia mvue suruali,nchi nzima mnafanya hima mkisema 'ndio baba!'Haha!Hamjui umwagikaji wa damu ulofanyika ili tupate uhuru!Nyie mlipiga magoti mkasema 'tunawaomba uhuru,tafadhari!'Kawaida yenu mkimwona mzungu utadhani mmemuona mungu!Ndo maana mtu akiongea kizungu mnapanic na kuwa mabubu.
 
Wewe sio mtanzania ndio maana unaona ni muhimu.
Kama mimi sio Mtanzania wewe sijui tuseme ni wa wapi......
Sio kila mtanzania ana akili kama zako.
Kushirikiana kama EAC ni jambo lisilokwepeka. Tunachotakiwa kufanya ni kuwa na mjadala mpana utakaosababisha kuundwa kwa mkataba au katiba itakayoeleza kwa kina muundo wa ushirikiano wetu na mipaka ya serikali ya shirikisho na za nchi wanachama
 
Back
Top Bottom