Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.Mganga wake ni yuleyule aliyezuia risasi kumwuua
AminaYesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo kichwa chini miguu juu ndio Meko?
Ndugu yangu ni hii roho mbaya tu ya ccm ya kupenda kudhibiti kila kitu. Hebu jiulize kwanini wanazuia vyama kuungana??.......kuungana ni zaidi ya kutiliana mikataba na kuipeleka kwa msajili kama lilivyo takwa la kisheria.Sasa hapo sijui watamshitaki nani!!
Mkuu, huyo mtoka ahera naye si kwamba anayo miujiza, hapana, isipokuwa anazungumza maisha ya watu, mfano:- wakati Magufuli anasema hakuna fao la kujitoa, Lissu asema litakuwepo, Magufuli anasema ntatumia kikokotoo kinacho punja mstaafu, Lissu anasema ntatumia kikokotoo kinacho mpa maslahi mazuri mstaafu, wakati Magufuli akisema siongezi mishahara mwenzake anasema nitaongeza mishahara na kupandisha madaraja, wakati Magufuli akimwambia mkulima wa mbaazi kuwa mbaazi zichemshwe ziliwe kwani zina protein nyingi, Lissu anasema ntatafuta soko zuri mkulima auze.,...............Alijua kujenga matuta barabarani akayaita flai-ova na kununua madege yanaytumika kama mzalia ya popo watu watampenda. Kumbe bwana, wanamchora tu.
Aliuefika ahera na kurudi hajanunua hata msumari ndiyo watu wanamtaka. The world is not fair kwa kweli.
Mbombo i ngafu ,Kazi ipo
Wafuasi wa ACT wazalendo Tarime waungana na CHADEMA kumpokea Tundu Lissu wakiwa na uniform zao na bendera zao.
Ni dhahiri sasa Tundu Lissu anawachezesha CCM na NEC segere
Hii ni kidalipo
Kama ni ndumba au Mzizi basi huu mzizi ni somba somba na Mzizi wa kimbunga
Tundu Lissu akiwa Rais atupeleke kwenye huu mzizi wa kujaza watu bila matangazo ya television na kuswaga kama punda
Huyu Mganga wake anatumia uchawi gani kushawishi watu wamfuate Lissu uwanjani na barabarani, Hii ni dawa ya nchi gani?
Vipaumbele vyake sio vipaumbele vya wananchiAlijua kujenga matuta barabarani akayaita flai-ova na kununua madege yanaytumika kama mzalia ya popo watu watampenda. Kumbe bwana, wanamchora tu.
Aliuefika ahera na kurudi hajanunua hata msumari ndiyo watu wanamtaka. The world is not fair kwa kweli.
Ana rechargeKwani bichwa yuko wapi leo?
Mkuu haiwezekani ,Kama mungu aishivyo wakaribu ,na nasema haiwezekani maana mungu ni fundi, isitoshe tz siyo ya ccm au chadema au chama chochote ,tz ni ya watanzania wote wenye vyama na wasio kua na vyama so wasidhubutu ,wakidhubutu, mungu ataamua juu ya taifa lake na watu wakeNdio maana meko ametoa maagizo tume. Isimamishe kampeni za lisu.
Si arest in peace tu tumpongezeAna recharge