Uchaguzi 2020 Bendera za ACT-Wazalendo zapepea kwenye mkutano wa Tundu Lissu Tarime

Uchaguzi 2020 Bendera za ACT-Wazalendo zapepea kwenye mkutano wa Tundu Lissu Tarime

Chama mfu Ni kile kinachobebwa na dola badala ya umma. Tatizo la jiwe alitukana mamba badala ya kuwasikiliza watz akamsikiliza yule mrefu wa Rwanda akampotosha
 
Mbombo i ngafu ,Kazi ipo
Wafuasi wa ACT wazalendo Tarime waungana na CHADEMA kumpokea Tundu Lissu wakiwa na uniform zao na bendera zao.

Ni dhahiri sasa Tundu Lissu anawachezesha CCM na NEC segere

Hii ni kidalipo

Kama ni ndumba au Mzizi basi huu mzizi ni somba somba na Mzizi wa kimbunga

Tundu Lissu akiwa Rais atupeleke kwenye huu mzizi wa kujaza watu bila matangazo ya television na kuswaga kama punda

Huyu Mganga wake anatumia uchawi gani kushawishi watu wamfuate Lissu uwanjani na barabarani, Hii ni dawa ya nchi gani?
Hivi ni kweli unahisi kuna imetumika hapo?
 
Tunapoelekea usishangae na wafuasi wa CCM kuanza kumpokea Lissu huku wakiwa na bendera zao au uniform.

Nyota ya Lissu kwa sasa inawaka.
 
Ndugu yangu ni hii roho mbaya tu ya ccm ya kupenda kudhibiti kila kitu. Hebu jiulize kwanini wanazuia vyama kuungana??.......kuungana ni zaidi ya kutiliana mikataba na kuipeleka kwa msajili kama lilivyo takwa la kisheria.
Kwa ubaya alotufanyia Magufuli kwa miaka 5 naamini kuwa hata ndani ya CCM kindakindaki wapo wanaomuunga mkono lissu. Hivyobasi kuepuka sheria ya hovyo inayozuia vyama kuungana nashauri waendelee kutumia njia zinazo ikwepa sheria huku wakionesha kwamba wameungana kama kwenye bendela, itapendeza zaidi wakipata wana CCM wajasili wasiopendezwa na utawala huu wakajumuishwa hata jukwaa kuu wakiwa na uniform zao- itasaidia kujenga ujasiri kwa waoga. Kuungana ni zaidi ya kuandikishana, naweza nisiseme kwa maneno nikakuunga mkono kwa matendo. Matendo ni kila kitu.
Sheria zao za kitoto waache wakae nazo, watu wenye mvuto wataungana kwenye sanduku la kura.
Akina Polepole walitaka wajue mapema ili wakwamishe wameshachelewa. Ni TAL tu.
 
Back
Top Bottom