Bendera za mataifa ya nchi za Scandinavia

Bendera za mataifa ya nchi za Scandinavia

mungu unamjua Wewe.
There is no god but Allah
Allah ni Baal
Mungu ni mwenye kutoa chaguo ndio maana kakupa option ya kufuata yy au shetani na kakuwekea na madhara

Ukiona Huyo mungu wako analazimisha watu wamfuate shituka Mungu alitaka binadam awe tofauti na mnyama
 
Allah ni Baal
Mungu ni mwenye kutoa chaguo ndio maana kakupa option ya kufuata yy au shetani na kakuwekea na madhara

Ukiona Huyo mungu wako analazimisha watu wamfuate shituka Mungu alitaka binadam awe tofauti na mnyama
Elimu na darasa lako sijalipokea wala kulikubali
 
Elimu na darasa lako sijalipokea wala kulikubali
Mungu anahubiri amani sio jihadi
Mungu anampa mtu uhuru sio kulazimisha
Mungu wa kweli hafundishi chuki
Mungu sio muislam yy hana dini
Mungu haruhusu kuongea uongo
Mungu hahitaji binadamu kujitetea
Mungu hatoki uarabuni
Mungu haongei kiarabu
Mungu anasikia lugha zote
 
Aiseee
Mungu anahubiri amani sio jihadi
Mungu anampa mtu uhuru sio kulazimisha
Mungu wa kweli hafundishi chuki
Mungu sio muislam yy hana dini
Mungu haruhusu kuongea uongo
Mungu hahitaji binadamu kujitetea
Mungu hatoki uarabuni
Mungu haongei kiarabu
Mungu anasikia lugha zote
😂😂😂
 
Mbona Na Africa zipo pia
 

Attachments

  • Screenshot_20240325-220015.jpg
    Screenshot_20240325-220015.jpg
    443.1 KB · Views: 4
Aiseee

😂😂😂
mkuu jiweke huru fanya uchunguzi wako mwenyewe

Usicheke najua ni ngumu kwa sababu upo dini inayotishia kukuua kama ukijaribu kumfuata mungu wa kweli.
Ondoa chuki uliyofundishwa tangu utotoni
Mungu ni upendo
 
mkuu jiweke huru fanya uchunguzi wako mwenyewe

Usicheke najua ni ngumu kwa sababu upo dini inayotishia kukuua kama ukijaribu kumfuata mungu wa kweli.
Ondoa chuki uliyofundishwa tangu utotoni
Mungu ni upendo
Kila Mtu ana uhuru wa kufanya analolitaka, so we Baki ulivyo na Mimi ni Baki kama nilivyo.
 
View attachment 2943061

Huu ndio muundo wa bendera za mataifa ya ukanda wa “Scandnavia” yanayopatikana Kaskazini mwa bara la Ulaya...

Muundo wa bendera za mataifa una upekee kutokana na kulingana huku rangi pekee zikionekana kutofautisha bendera hizo...

Kila bendera miongoni mwa mataifa hayo ina alama ya masalaba katikati ukiwa umelala kwa ulalo...

Nini kimekuvutia katika muundo wa bendera hizo??
Aisee! Sikuwahi kujua hii
 
Back
Top Bottom