KabisaaaNi muda sasa wa kuwekeze nguvu kwa twiga stars
Sio kwamba tunahitaji generation mpya Kama ya kina novatus dismas pia tuachane na hayo magari ya mkaaKila siku sisi ni watu wa kujifunza tu,then hatujisumbui kufukia makosa,well well tutaendelea kujifunza bila kufukia makosa Hadi siku ya mwisho ya dunia,Kama hawataki kulitumikia Taifa si wapumzike tu...
Hahaaha! Samata ndio dereva wa gari la mkaa?Sio kwamba tunahitaji generation mpya Kama ya kina novatus dismas pia tuachane na hayo magari ya mkaa