jamal seif
Member
- Nov 24, 2014
- 78
- 13
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ancelot alikuwa kocha mzuri sana kwa upande wangu, na madrid walikuwa wakicheza soka la kuvutia sana kipindi chake ila kwa huyu bwana benitez sijuiiiiiii!!!!!
"Rafa" kafundisha Real Madrid B ni mtu anayekubalika sana hapo.Daaaa kiukwelii sitegemei chcht kutokaa kwake nazani Ronaldo anaweza kuwa juu yk asipokuwa makinii
Msome Vicente del Bosque anamuelezeaje Benitez, na sifa alizompa alikuwa msaidizi wake.Wadau na wapenzi wa soka mnamuongeleaje huyu jamaa? Kwa upande wangu simuamini sana labda wajuzi wa mambo mnaweza kunifungua kidogo katika hili nawasilisha na karibuni sana
msome vicente del bosque anamuelezeaje benitez, na sifa alizompa alikuwa msaidizi wake.
Barcelona wameshangilia sana ujio wa benitezi,naiona madrid ikifungwa hata na real sociedad
Ahahahahaahahaha ni shangwe kwa kwenda mbele Mkuu, karibu Barca!!!
madrid kwa huyu kocha iko hatihati kushiriki uropa vinginevyo wawai kumtimua
Banitez sio mzuri sana. Timu yake ya sasa ya Napoli imeshindwa hata nafasi ya pili ya Serial A
Anceloti pekee ndie angeiweza Barca ya Suarez, Messi na Neyman
Sina uhakika kama Banitez ataweza kuwaweka pampja mastaa wa Barnabeu labda wakurugenzi wao waliona jambo