mkuu chama letu barca hata ukipewa wee timu utaweza kuindesha 1. pale kuna heshima cha kwanza kabisa unafundishwa adabu umemuona suarez si yule suarez wa liverpool 2. hakuna ubossi watu wote sawa kutoka kipa mpaka captain. na real hawako hivyo c.ronaldo akihamaki kidogo basi mara kocha anafukuzwa na casila nae akikasirika kocha kibarua kinaota nyasi barca hawako hivyo hata kama kuna mgogoro goma litazimwa kimya kimya ronaldo akinyimwa pasi na bale hasira tayari na barca neymar akijifanya chenga nyingi na akapoteza mpira au akamnyima messi pasi watu kimya na makofi anapigiwa neymar !!!! neymarr !!! neymar!!!Banitez sio mzuri sana. Timu yake ya sasa ya Napoli imeshindwa hata nafasi ya pili ya Serial A
Anceloti pekee ndie angeiweza Barca ya Suarez, Messi na Neyman
Sina uhakika kama Banitez ataweza kuwaweka pampja mastaa wa Barnabeu labda wakurugenzi wao waliona jambo