Benjamin Asukile: Jeshini hakuna urembo wala Biriani, asema mazoezini hucheza kwa nguvu sana kuliko hata kwenye mechi. Awataka Simba waache kulia

Benjamin Asukile: Jeshini hakuna urembo wala Biriani, asema mazoezini hucheza kwa nguvu sana kuliko hata kwenye mechi. Awataka Simba waache kulia

Kama na nyinyi mlivyowakamia Al Ahly! Au siyo
Kuna utofauti mkubwa hapo,sisi tulipania mechi ili kupata pointi tatu tulizodhamiria kuzibakiza nyumbani kama tulivyo ahinisha kwenye mpango mkakati wetu kuelekea nusu fainali,na hatujapania mechi ili tuonekane tumeifunga Al ahly.

Sasa hizi pimbi za magereza zinapania kuzifunga tu Simba na Yanga na kujisifu eti pira gwaride for what??? wakati wakikutana na Ihefu tu hapo ulimi unawatoka...maneno hayo wangeongea biashara kwa nafasi waliopo kwenye msimamo ningesema yes,kuna kitu wanatafuta hawa,so wanamalengo na point na sifa za kijinga tu ambazo hazina msingi wowote...Stoke city imepotea huko kwa kupania mechi na kucheza fouls bila malengo.
 
Wapo nafasi ya ngapi na gwaride lao? hamna lolote wapania mechi tu hao.
Mechi ya kwanza prison1-0 simba
Mechi ya pili simba 1-1 prison

Msimu ulioisha

Simba 0-0 prison
Prison 0-0 simba

Wamesuluhu na yanga na azam pia
 
Hawa Taifa stars wanaenda huko wanafungwa inabidi wakirudi wapigishwe drill,nimechomekea kidogo-Mkuu

Kuna Muda natamani taifa stars ingekua imejaza wanajeshi-Mkuu
 
Na kujiangusha na kulala lala chini wanafundishwa pia jeshini? Halafu aseme jeshi la magereza sio jeshini. Ukisema Jeshini sisi tunajua JWTZ!
Sio sisi sema "mimi" ulichokiandika sijui hata kama umekielewa.

Nini maana ya mkuu wa majeshi? na kwanini isiwe mkuu wa jeshi? Na hayo majeshi ni yapi?
 
Benjamin Asukile ''Sisi hatuna pira biriani sisi tunapiga gwaride na sasa tumeongezea kwata kidogo, jeshini hakuna urembo wala biriani. Hatuiwezi biriani itatupalia tu ndio maana tunacheza mpira wetu wa uhalisia wa jeshi sababu mazoezi ya jeshi ndivyo yalivyo kwahyo inatubidi tucheze kwa jinsi mazoezi yetu tunayofanya ya kijeshi.

Nadhani hauhuzurii mazoezi yetu, Mazoezi yetu ni zaidi ya mechi. Hatumfokei bali tunamhamasisha sisi jeshini hakuna kufokeana bali tunamhamasisha ,kauli ya jeshi ni nzito siku zote sio nyepesi"

Mlinzi na nahodha wa Tanzania prison Benjamin Asukile akijibu swali kuwa pale mchezaji wao anapofanya kosa wanaonekana kama wanaenda wengi kwenda kumzonga na kumfokea.

Mazoezi yenyewe ndio haya?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washukuru mpira wetu unachezeshwa na marefa wabovu siku wakikutana na marefa wa kimataifa watashushwa daraja maana kila mechi watapata kadi si chini ya nne
 
Mechi ya kwanza prison1-0 simba
Mechi ya pili simba 1-1 prison

Msimu ulioisha

Simba 0-0 prison
Prison 0-0 simba

Wamesuluhu na yanga na azam pia


Hii ni maana sahihi ya Small Team Mentality! Anakamia Timu kubwa then anafungwa na Vibonde na kubaki half bottom of the table.
 
Hakuna lolote ni maneno tu.Jeshi unaweza kugongana na Luis halafu ukaanguka mwenyewe?
Mbona mlikuwa mnaanguka na wengine kushindwa kuendelea kwa sababu ya maumivu?

Usijidai muhuni kuna watoto wa mjini wahuni kuliko wewe ila wanajitambua ndio maana wako kimataifa.Ubabe wa kishamba na kutambia nguvu ambazo huna umepitwa na wakati.Michezo ya watabe ni ngumi na mieleka ambayo mtu mdhaifu kama wewe ukiingia humo utaonekana kama kuku tu aliyeingilia ugonvi wa tai.

Acha kujusifu kwa mambo ya kijinga,ungekuwa unajua mpira usingekuwa magereza hadi leo,ungekuwa na miguvu ungekuwa wwe,ungekuwa na akili ungekuwa head office unawapangia kazi askari wenzio.Wewe ni mwenzetu sana
Benjamin Asukile ''Sisi hatuna pira biriani sisi tunapiga gwaride na sasa tumeongezea kwata kidogo, jeshini hakuna urembo wala biriani. Hatuiwezi biriani itatupalia tu ndio maana tunacheza mpira wetu wa uhalisia wa jeshi sababu mazoezi ya jeshi ndivyo yalivyo kwahyo inatubidi tucheze kwa jinsi mazoezi yetu tunayofanya ya kijeshi.

Nadhani hauhuzurii mazoezi yetu, Mazoezi yetu ni zaidi ya mechi. Hatumfokei bali tunamhamasisha sisi jeshini hakuna kufokeana bali tunamhamasisha ,kauli ya jeshi ni nzito siku zote sio nyepesi"

Mlinzi na nahodha wa Tanzania prison Benjamin Asukile akijibu swali kuwa pale mchezaji wao anapofanya kosa wanaonekana kama wanaenda wengi kwenda kumzonga na kumfokea.

 
Magereza sio jeshi ni askari
Unakielewa ulichokiandika hapa?
Unajua maana ya jeshi?
wa magereza kama walivyo askari wa makampuni ya ulinzi.
Bahahahahaha!
Hao JWTZ sio Askari? Na kama sio Askari wao ni kina nani?
.
Kwa lugha ya kiingereza maaskari wa Magereza wanaitwa Prison officers! Na Polisi wanaitwa Police officers! Ndio maana specifically wana wizara yao inayoitwa Wizara ya Mambo ya ndani.
.
Hata uhamiaji, na zimamoto nayo ni majeshi, mafunzo yao ni ya kijeshi wanafuata protocol zote za kijeshi na wanatumia dhana za kijeshi majukumu yao pia ni ya kijeshi ndio maana wakaitwa Jeshi la ....
 
Magereza sio jeshi ni askari wa magereza kama walivyo askari wa makampuni ya ulinzi.
Magereza wana kambi yao ya maafisa wa daraja la kwanza ipo Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya!

Mafunzo yao ni ya hatari kuliko unavyoweza kuhisi.
Magereza inatumia silaha za aina zote kwa ajili ya ulinzi wa jela (hapa ndipo nitakapopima uelewa wako!)

Magereza ina special force kwa ajili ya kutuliza ghasia inayo-share vitu vingi zaidi na Askari jeshi Military Soldiers inayofahamika kama KM hawa ni sawa na FFU.

Nisijichoshe
 
Back
Top Bottom