Benjamin Fernandes Ni nani?

Ndio huyu kumbe!!!
hahaa kwani ulikuwa haumjui"" ?

alichokisema mtoa mada kikowazi kabisa...sasa hivi huu nimwaka wa 3 sasa tangu arejee bongo lakini vitambo vyake nivile vile tu kuwa kasoma Harvard na amekataa kazi yenye mshahara wa m.400"""
 
hahaa kwani ulikuwa haumjui"" ?

alichokisema mtoa mada kikowazi kabisa...sasa hivi huu nimwaka wa 3 sasa tangu arejee bongo lakini vitambo vyake nivile vile tu kuwa kasoma Harvard na amekataa kazi yenye mshahara wa m.400"""
Mkuu unaifahamu milioni 400 kweli?? Huyu ni mwongo kama waongo wenzake...
 
Waongo hao mkuu, wanawapa watu theory wakati kwenye reality game lipo very tough
 
Huyu jamaa ni fiksi sana haingii akilini kukata mshahara wa M 400 kwa mwezi na unarudi bongo hakuna Cha maana chochote ulichofanya tukaona M 400 ni hela nyingi sana. kama Median household income ya U.S.A is around U.S.D 50,000 annually
 
Kama angekuwa amesoma undergraduate hapo Harvard au Stanford basi angeimba sana.
Wapo vijana kibao wanaopiga degree ya kwanza hapo tena wakitokea huku mashenzini direct.
Huyu alienda US kufanya undergraduate chuo kingine na ndio akapata hiyo Graduate school hapo Stanford, kwahiyo sio kwamba ni exceptional sana.
Kingine kinachomfanya anaonekana sana ni media, wao nyumbani kwao ni wamiliki wa ATN media ambayo inamfanya kuonekana na kujipeleka kwengine.
Kwakuwa sina ridhaa ya kuwataja kwa majina vijana waliopo hizi ivy league colleges, basi itambulike tu huyu sio wa kwanza na hana mafanikio makubwa kuwazidi wengine ambao kuna waliobakishwa Harvard na kuna aliowakuta pale Stanford wakipiga Engineering na madude magumu sema wapo kimya sana.
Kuna wakati unamsikia akisema anaona faraja kuwaona vijana wengine wakipata nafasi Harvard na Stanford kana kwamba yeye ndio alikuwa wa kwanza, hata vijana wenzake aliowakuta pale watakuambia huyu jamaa anapenda camera.
Ana mengi mazuri sema kujikweza amezidisha.
Ukitaka kujua baadhi ya vijana wetu waliopo huko pitia pale TanSao utawaona wengi tu.
 
Huo mshahara alioukataa wa M400 ni kwa mwezi au mwaka? na Kama ni kwa mwezi atakuwa muongo ana elimu gani ya kumfanya alipwe pesa yote hiyo!?. Aache kutafuta kiki ajaribu kufanya kitu ambacho ni productive ili iwe chachu kwa vijana wengine.
 
Kwa kweli huwa nashangazwa na nguvu iliyotumika kumpromote huyu ndg.
Labda kuna Watanzania mnafaudu
 
Baba yake ana kanisa anakula tu sadaka bure
 
Mbona umeandika kwa wivu kiasi hicho?Acha gubu mkuu!!
 
Mbona umeandika kwa wivu kiasi hicho?Acha gubu mkuu!!
Kama wewe umeona me nina wivu kumshauri kijana mwenzangu kwamba ana uwezo mkubwa na anaweza kufanya zaidi ya anachofanya sasa basi nahisi una shida kichwani
 
Kaacha million Izo coz Mzee wake anamawe ya kutosha. Tuseme Ndo angekuwa ametoka kwao uko Samunge Au Nyakibimbili Au Akeri Au Buza Au Kigongoni familia duni unadhani angetoka USA Au kukataa mapene hayo eti kisa mapenzi na nchi yake nooooooo
 
Ninachokiona kwa Benjamin ni kama anahangaika ku-prove uzalendo wake kwa Tanzania!

As a Tanzanian of first generation, huku akiwa na Kiswahili kibovu (au cku hizi ame-improve?) ni kama anahisi watu watakuwa wanamuona ni "Mzungu" tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…