Benjamin Mkapa Stadium. Je mabango ya matangazo ya umeme yameacha kufanya kazi?

Ndio maana Azam wao wameamua kutoa tenda kwa mtu kuyasimamia yale mabango
 

Ndio maana Azam wao wameamua kutoa tenda kwa mtu kuyasimamia yale mabango
Nadhani uko sahihi. Huu utaratibu umekuja katikati ya msimu wakati timu na wadhamini tayari wamepanga bajeti na taratibu zao za msimu mzima. Pia bado uchumi wetu ni mdogo na hakuna mwamko wa kutosha kwenye kutangaza huko maana hata mabango ya Azam naonaga wanatangaza chapati zao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…