Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

wapi yesu kafundisha kuua watoto,wazee,waandishi wa habari,kudhulumu ardhi ya watu? eti unifundishe yesu kafundisha nini lol abda yesu wa galapo
Tatizo elimu wewe huwezi jua maana umekariri tu kiarabu bila kujua maana yake
 
hakika wewe una shida mie ni mkatoliki kwa kuzaliwa mie sio muislamu,uovu wanaofaniwa wapelestina hauhusu dini ni udhalimu na ujahili wa natanyahu
Mkuu, wahenga walisema "Mzinga wa nyuki haukumbatiwi" Wapalestina walimkumbatia HAMAS. IDF iliapa kuwasaka na kuwatokomeza HAMAS. Lakini kwa kuwa HAMAS ipo ndani ya nchi ya Palestina na Wapalestina walishindwa kumkataa HAMAS i.e. wamejichanganya nae, basi anapopigwa HAMAS na Wapalestina wanaumia pamoja naye HAMAS. Uovu unaousema ni vyema ukauona kwa HAMAS kwani HAMAS anawatumia raia Wapalestina wanawake, watoto na kujificha kwenye majengo ya Huduma za Kijamii. Sasa hapo IDF afanyeje?
 
Hospitali pekee iliyobaki nayo yateketezwa
1000060208.jpg
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Huu ugomvi haukuhusu.
 
Mkumbushe pia kwamba siku ya kiama Mungu anakuja kuangamiza dhambi. Haijalishi dhambi ipo moyoni mwa binadamu, kuzimu au kwenye jiwe. Lengo ni kuangamiza dhambi mahali popote ilipo. Kama ipo moyoni mwa binadamu, atamchoma huyo binadamu ili kuangamiza dhambi alizohifadhi.

Magaidi yamejihifadhi shuleni, hospital na majumbani hayavai uniform kujidhihirisha ni wapiganaji Hamas unataka Nyahu afanye nini? Ni kuchoma chochote kile gaidi kajihifadhi. Hao watoto pia wanakulia katika malezi ya kigaidi.


Tuishi kwa upendo... Hii dunia ni yetu sote. Sio ya Palestine wala Israel.

Yote hii ni October 17, 2023

unamlaani bure, walaani waliosababisha netanyahu aingie vitani kufagia magaidi, mbaya zaidi magaidi wanajificha kwa watoto, wanawake na wazee, hatari sana
 
Walijiapiza mno kuifuta Israel katika uso wa dunia. Wakaapa, na kuapa na kujiapiza tena. Wakaandaa vikosi kweli kweli - Hamas, Hezbollah, Houthi na kubwa lao kule mashariki kwa mamajusi!

Oktoba 7 waka-test mitambo wakaua 1,200 ndani ya usiku mmoja raia wasio na hatia. Jemadari Netanyahu the Custodian of the Holy Land angefanyaje? Au ungekuwa wewe ndiye kiongozi ungefanyaje kwa watu wako wasio na hatia kuuliwa?

Wacha unafiki! Kazi anayotekeleza Netanyahu moja kazi bora kabisa kwa nafasi yake; kazi ambayo mtawala yeyote angefanya kwa uhuni ule wa Oktoba 7.
Kwanza Hamas wangevamia Russia ile October 7 na kuuwa watu vile huku wakizibuluza maiti mtaani leo hii tungekuwa tunaongea lugha nyingine kabsa hapa
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
1. Kwani yeye Netanyahu alikwambia anataka kaburi lake lijazwe mchanga? Usikariri, wengine huchomwa moto na wengine wanatengenezewa nyumba mwili unashushwa humo
2. Kufa vibaya ni uchaguzi wake na Mungu wake. Nani alikuambia anataka kufa vizuri? Aliapa kwa Mungu na katiba yake, kama kiongozi wa nchi, asingeacha kuona wananchi wake 1,200 wanauawa na wengine kutekwa na mtekaji yupo jirani achekee. Atawamaliza magaidi na watoto wao, hii ni vita, huwezi kunichokoza halafu ukajifiche kwenye magauni ya wanawake ukitegemea kelele za majirani na viongozi wa mtaa. Nitambinua mkeo na kuwafagia wote baada ya hapo sasa tutakaa na serikali ya mtaa kujadili habari ya kwanini nimembinua na kutengua viuno vya akina mama wakati huo wewe na mke wako mmeshasafiri. Tuishi kwa kuheshimiana na upendo.
3. Kwahiyo mgambo wa Hamas hawavai uniform wakijua wakichanganyika na watoto, wazee, wanawake, wajawazito, vikongwe, waandishi wa habari, manesi na madakatari ndio pona yao? Netanyahu anafyeka kila kituo cha afya, kambi za wakimbizi, magorofa, shule na kila eneo analohisi magaidi yapo au yana uwezekano wa kuwepo.

Waliowachagua Hamas basi ndio wanaolipa gharama ya kura zao. Mwisho wa siku Gaza haitabaki kama ilivyokuwa awali kabla ya Oktoba 17, 2023
 
Walijiapiza mno kuifuta Israel katika uso wa dunia. Wakaapa, na kuapa na kujiapiza tena. Wakaandaa vikosi kweli kweli - Hamas, Hezbollah, Houthi na kubwa lao kule mashariki kwa mamajusi!

Oktoba 7 waka-test mitambo wakaua 1,200 ndani ya usiku mmoja raia wasio na hatia. Jemadari Netanyahu the Custodian of the Holy Land angefanyaje? Au ungekuwa wewe ndiye kiongozi ungefanyaje kwa watu wako wasio na hatia kuuliwa?

Wacha unafiki! Kazi anayotekeleza Netanyahu moja kazi bora kabisa kwa nafasi yake; kazi ambayo mtawala yeyote angefanya kwa uhuni ule wa Oktoba 7.
Kwanza Hamas wangevamia Russia ile October 7 na kuuwa watu vile huku wakizibuluza maiti mtaani leo hii tungekuwa tunaongea lugha nyingine kabsa hapa
 
1. Kwani yeye Netanyahu alikwambia anataka kaburi lake lijazwe mchanga? Usikariri, wengine huchomwa moto na wengine wanatengenezewa nyumba mwili unashushwa humo
2. Kufa vibaya ni uchaguzi wake na Mungu wake. Nani alikuambia anataka kufa vizuri? Aliapa kwa Mungu na katiba yake, kama kiongozi wa nchi, asingeacha kuona wananchi wake 1,200 wanauawa na wengine kutekwa na mtekaji yupo jirani achekee. Atawamaliza magaidi na watoto wao, hii ni vita, huwezi kunichokoza halafu ukajifiche kwenye magauni ya wanawake ukitegemea kelele za majirani na viongozi wa mtaa. Nitambinua mkeo na kuwafagia wote baada ya hapo sasa tutakaa na serikali ya mtaa kujadili habari ya kwanini nimembinua na kutengua viuno vya akina mama wakati huo wewe na mke wako mmeshasafiri. Tuishi kwa kuheshimiana na upendo.
3. Kwahiyo mgambo wa Hamas hawavai uniform wakijua wakichanganyika na watoto, wazee, wanawake, wajawazito, vikongwe, waandishi wa habari, manesi na madakatari ndio pona yao? Netanyahu anafyeka kila kituo cha afya, kambi za wakimbizi, magorofa, shule na kila eneo analohisi magaidi yapo au yana uwezekano wa kuwepo.

Waliowachagua Hamas basi ndio wanaolipa gharama ya kura zao. Mwisho wa siku Gaza haitabaki kama ilivyokuwa awali kabla ya Oktoba 17, 2023
Hadi raha
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Insha Allah nusura ya Mwenyezi Mungu ipo karibu. Palestine itakuwa huru na huyo SHETANYAHU atapata anachostahiki.
Mwenyezi Mungu hasahau
 
Palestine itakuwa huru
Siioni Gaza au Palestine huru.

Palestine ya Sinza Dar ina uwezekano mkubwa wa kuwa huru lakini sio hiyo ya mashariki ya kati.

Mfadhili wao mkuu anaenda kufyekwa hivi karibuni. Wanashughulikia chaka moja lilobaki kulifyekwa ili njia ibake nyeupe kuliendea baba lao Ayatola. Wakimalizana na Hauz kitajulikana. Hizbu tayar, Siria tayari, Hamaz jambo linaendelea.

Hatusikii tena habar ya Golan Height Israel alikimbia, au 2016 Hizbu alimkimbiza mzayuni.

Tuishi kwa kuheshimiana na upendo. Dunia ni yetu sote. Hao mnaowaita makafiri basi Mungu mwenyewe angewaua kama sio mpango wake wawepo kwenye hii duniani yake. Iweje leo kundi moja lidai wema kushinda lingine
 
Back
Top Bottom