Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Muda kidogo uliompa umekwisha. Mwambie asome up to date info. za Hezbollah vs Israel. Tayari wanalia sana na kusaga meno na wamechanganyikiwa huko Beirut.
Sisi tulisema hapa Israel huwa hacheki na kima.
Ndio kwanza anaanza hapo mpk mji uchakae.
 
Netanyahu kauli yake ya kusema wanajiandaa kwa ground invasion nchini Lebanon, ni kauli ya kitisho.

Mkuu wa majeshi wa Israel niliona akiwaambia IDF operation inayoendelea hivi sasa ya air force ni kufanya maandalizi ya wao kuingia ardhi ya Hezbollah kijeshi.

Kauli hio ina maana wataishambulia Lebanon kama ilivyo Gaza, halafu wataingiza jeshi la ardhi, ni kauli ya kitisho kwamba wataua raia Lebanon kama ilivyo Gaza.

Hii itapelekea jumuiya za kimataifa na serikali ya Lebanon kuomba kusimama kwa vita.

Netanyahu kauli yake ina uoga ndani yake na vitisho, lakini ni kauli inayoomba suluhu.

Cause infantry hata Netanyahu anajua na ni siri yake kwamba vijana wake wa IDF hawatofua dafu mbele ya Hezbollah zaidi watauawa.
 
Ghaza kuneqakutabkioyw amacho hakijawahi kuwakuta miaka 75 iliyopita?

Kama. Ykikus huelewi, hao hnaowsona Ghaza leo hii, wengi wao walihamishiwa kwa nguvu baada ys kusambaratishqs bijiji vyak vys asili.

Ni hayo hayo kwa Hezbollah.

Labda huelewi kuwa Hezbolksh ni qakimbizi wa Kipalestina, waliobomokewa. Miji yao na kuanza kukaliwa na mazayuni.

Adilimia nyingi pia wapo Jordan , wapo Syria, wspo Iraq na wapo nchi nyingi za Kiarabu na duniani.
Msifikiri Hezbollah wanabahatisha. Wanagombania haki yao.
Kweli leo ijumaa, umeanza weekend mapema sana.
 
Wewe ni mjinga
Ndio - Uko sahihi mkuu. Hakuna mtu hapa duniani anayejua kila kitu. Ndo mana hata ww hujui ni kwa nini IDF hawajawafuata huko kwenye vichuguu walikojificha na kuwasambaratisha. Kwa mantiki hiyo, hatuchekani broo. ila tunazidiana tu viwango vya ujinga tulionao au sio jamani.
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
...... Kwa mujibu wa redio mbao ya masjid ubwabwa.
 
Netanyahu kauli yake ya kusema wanajiandaa kwa ground invasion nchini Lebanon, ni kauli ya kitisho.

Mkuu wa majeshi wa Israel niliona akiwaambia IDF operation inayoendelea hivi sasa ya air force ni kufanya maandalizi ya wao kuingia ardhi ya Hezbollah kijeshi.

Kauli hio ina maana wataishambulia Lebanon kama ilivyo Gaza, halafu wataingiza jeshi la ardhi, ni kauli ya kitisho kwamba wataua raia Lebanon kama ilivyo Gaza.

Hii itapelekea jumuiya za kimataifa na serikali ya Lebanon kuomba kusimama kwa vita.

Netanyahu kauli yake ina uoga ndani yake na vitisho, lakini ni kauli inayoomba suluhu.

Cause infantry hata Netanyahu anajua na ni siri yake kwamba vijana wake wa IDF hawatofua dafu mbele ya Hezbollah zaidi watauawa.
Mkuu, Netanyahu kauli yake sio ya kitisho ni kweli na utekelezaji tayari umeanza na unaendelea- huko Beiruti hakufai-HAKUFAI KABISA nI vilo na kusaga meno. Mashuhuda wanasema haijawahi kutokea.
 
Mkuu, Netanyahu kauli yake sio ya kitisho ni kweli na utekelezaji tayari umeanza na unaendelea- huko Beiruti hakufai-HAKUFAI KABISA nI vilo na kusaga meno. Mashuhuda wanasema haijawahi kutokea.
Ndio maana nakuambia hivyo...

Je unadhani itakuwaje Hezbollah wakianza kushambulia full force kuipiga Tel Aviv na miji mingine?

Ndipo nakuambia hii vita Netanyahu ni kauli.
 
Netanyahu kauli yake ya kusema wanajiandaa kwa ground invasion nchini Lebanon, ni kauli ya kitisho.

Mkuu wa majeshi wa Israel niliona akiwaambia IDF operation inayoendelea hivi sasa ya air force ni kufanya maandalizi ya wao kuingia ardhi ya Hezbollah kijeshi.

Kauli hio ina maana wataishambulia Lebanon kama ilivyo Gaza, halafu wataingiza jeshi la ardhi, ni kauli ya kitisho kwamba wataua raia Lebanon kama ilivyo Gaza.

Hii itapelekea jumuiya za kimataifa na serikali ya Lebanon kuomba kusimama kwa vita.

Netanyahu kauli yake ina uoga ndani yake na vitisho, lakini ni kauli inayoomba suluhu.

Cause infantry hata Netanyahu anajua na ni siri yake kwamba vijana wake wa IDF hawatofua dafu mbele ya Hezbollah zaidi watauawa.
Uoga Gani wed zmtu kashalipa Beirut huko wewe unaongea kwenye keyboard hahahaha unafikili ngoma rahisi kupambana na myahudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio maana nakuambia hivyo...

Je unadhani itakuwaje Hezbollah wakianza kushambulia full force kuipiga Tel Aviv na miji mingine?

Ndipo nakuambia hii vita Netanyahu ni kauli.
Hezbollah wameshaisha hapo labda uende wewe ukashambulie wenzio Kila siku wanakufa nenda wewe ukawe Hezbollah wakunyonye mavi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Leo Ijumaa, Central commanding Headquarters ya Hezbollah imekwenda na maji. Cjui kama Nasrallah kanusurika au vipi.
2006 walipiga hadi kituo cha Tv, baada ya dkk kadhaa kituo kikaendelea kurusha habari ... Hezbollah sio mchezo..
 
2006 walipiga hadi kituo cha Tv, baada ya dkk kadhaa kituo kikaendelea kurusha habari ... Hezbollah sio mchezo..
Hahahaha et Hezbollah sio mchezo unaongelea historia wakati wenzio wako ground leo nenda wewe ukawasaidie wenzio wameshaisha huko Kila siku vichapo Toka hapo panda mwewe uende ukawasaidie Hezbollah sio kuongea nyuma ya keyboard huku wenzio wanateketea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uoga Gani wed zmtu kashalipa Beirut huko wewe unaongea kwenye keyboard hahahaha unafikili ngoma rahisi kupambana na myahudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rejea kusoma vita ya 2006, Israel walipiga maeneo yote ya Hezbollah kwa muda mchache hadi wakasema hawaoni pa kupiga tena, wakasema wamesamvaratisha mizinga yote ya silaha, wamepiga site za missiles... wakatangaza na ushindi ...
Kilichotokea ilikua kilio kikuu...

Huijui Hezbollah...
Hao jamaa hawakurupuki, hawaendeshwi na akili za hisia, ni wapiganaji kweli wenye mafunzo si tu kijeshi hata kisaikolojia, wanaelewa wanakabiliana na adui wa namna gani anayewaza vipi...

Mtakuja kushangaa hapa maajabu ..
 
Hahahaha et Hezbollah sio mchezo unaongelea historia wakati wenzio wako ground leo nenda wewe ukawasaidie wenzio wameshaisha huko Kila siku vichapo Toka hapo panda mwewe uende ukawasaidie Hezbollah sio kuongea nyuma ya keyboard huku wenzio wanateketea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenda mi kusaidia ni kuionea Israel, Hezbollah inawatosha na zaidi..
 
Kwenda mi kusaidia ni kuionea Israel, Hezbollah inawatisha na zaidi..
Nenda Sasa kwapambanie hao Hezbollah wanajeshi wao wameisha sio unaongea humu tu eti Hatari wakati wenzio wameisha unafikiri Vita ni maneno ya mdomoni ingia ground ulicheze goma
 
Nenda Sasa kwapambanie hao Hezbollah wanajeshi wao wameisha sio unaongea humu tu eti Hatari wakati wenzio wameisha unafikiri Vita ni maneno ya mdomoni ingia ground ulicheze goma
Ndio maana nakuambia hata askari mmoja kuongezeka Hezbollah ni kuwaonea Israel, Israel hapo ilipo imejichokea, Hamas imewachosha...
 
Rejea kusoma vita ya 2006, Israel walipiga maeneo yote ya Hezbollah kwa muda mchache hadi wakasema hawaoni pa kupiga tena, wakasema wamesamvaratisha mizinga yote ya silaha, wamepiga site za missiles... wakatangaza na ushindi ...
Kilichotokea ilikua kilio kikuu...

Huijui Hezbollah...
Hao jamaa hawakurupuki, hawaendeshwi na akili za hisia, ni wapiganaji kweli wenye mafunzo si tu kijeshi hata kisaikolojia, wanaelewa wanakabiliana na adui wa namna gani anayewaza vipi...

Mtakuja kushangaa hapa maajabu ..
Wangekua wanatisha hai viongozi wasingekufa Kila siku kama kiki wa mdondo hao Hezbollah hamna kitu nenda wewe ukawasaidie usiongelee kwenye keyboard
 
Ndio maana nakuambia hata askari mmoja kuongezeka Hezbollah ni kuwaonea Israel, Israel hapo ilipo imejichokea, Hamas imewachosha...
Unasubiri nini kwenda kuwatanguliza we Israel mbele ya haki maana unawajua vizuri wenzio Hezbollah wamewashindwa Kila siku wanaisha tena viongozi wqkubwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom