Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Magaidi yalimchokoza Netanyahu Octoba 07 sasa Netanyahu aachwe amalize kazi ya kuwasafisha Magaidi Gaza na Lebanon.
 
Magaidi yalimchokoza Netanyahu Octoba 07 sasa Netanyahu aachwe amalize kazi ya kuwasafisha Magaidi Gaza na Lebanon.
Pia wanakaribishwa na wale wengineo e.g. Hauths n.k. kama nao wanataka kusafishwa (kutawadhwa) ili waende kwa mabikra 72 na mito ya pombe wakiwa na udhu. Mbona Myahudi alishasema anawamudu wote hao iwe ni mmoja-mmoja au wote kwa pamoja. Shida iko wapi; si wajipeleke?
 
Hezbollah wamekuja bila gadi mzee Neta anagawa kwa wastani bado yule mtoto Yemen anautaka sana sasa ngoja apelekewe moto uzur israel anamaliza sehem moja anahamia kwingine
 
Netanyahu aendelee kuwapelekea moto tu hao kobazi gang ,waende wakafanye upuuzi kwa mabikra huko kwenye ahadi.
 
Kuna ka mwarabu koko kana mimba changa humu, kanatema mate hatari. 🀣
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Ushatoka madrasa umedanganywa na ma sheikh ubwabwa weee
 
US na UK wameisha peleka carries zao huko kwenda mlinda πŸ˜„

Yemen leo asubuhi kuwapelek3a moto huko Tela Aviv wanadai wameipiga lakini kuwa watu wameumia 12


View: https://youtu.be/a7VK53bZ3fs?si=c93XKtNCFqbPprWZ
Yahudi akimalizana na Hezbolla anaefuata ni Houth wa Yemen.

Sasa hivi kuna majasus wa Mosad wako huko wanarekodi kila location zilipo silaha za Hauth ili Wanajeshi wa kumaliza kazi Lebanon wahamie Yemen.

Magaidi mnalo mwaka huu
 
Kuna magaidi elfu 40 wameingia hapo Lebanon kutoka Yemen, (houthi), iraq na Syria.
Jana walikuwa wanasafirisha siraha kutoka Syria kuingia Lebanon, IDF wakaziteketeza mpakani.
 
Mzushi huyo .
Acha magaidi waendelee kuliwa vichwa
Hata wale waliodhani wanaweza kuingiza silaha kwa kificho mpakani mwa Syria -Lebanon kuisaidia Hezbollah, 5 wameliwa vichwa pia na yule mtaalam nguli wa Hizbollah wa Urushaji wa Drones, Muhammad Sururu, naye wamem-RIP tayari.
Majeshi ya IDF ya ardhini nayo tayari yameingia yanatoa kichapo huko kusini mwa Lebanon -mashule yamefungwa, Mtaifa ya kigeni wanachakarika haraka sana kuwaondoa raia wao na mahospitali wanalalamika kuzidiwa na majeruhi - tuseme tu kwa sasa huko Hapatoshi -Pamechimbika.
 
Acha wanywee kikombe chao.
 
Kuna magaidi elfu 40 wameingia hapo Lebanon kutoka Yemen, (houthi), iraq na Syria.
Jana walikuwa wanasafirisha siraha kutoka Syria kuingia Lebanon, IDF wakaziteketeza mpakani.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu embu niletee hiyo habari ya silaha zilizoteketezwa mpakani.
Na hao wapiganaji wao hawatajihusisha kwenda Lebanon wao kama vita itatokea watavamia kupitia Gollah heights.
 
Nani kashakuambia vita Vila hali nzur?..vita haina macho na Wala hamna kupakana poda ...ni mwendo wa vumbi...na milio ya risasi tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…