Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu embu niletee hiyo habari ya silaha zilizoteketezwa mpakani.
Na hao wapiganaji wao hawatajihusisha kwenda Lebanon wao kama vita itatokea watavamia kupitia Gollah heights.
Aisee wewe mbishi sana.
Jana kwenye ile thread si nikikutumia mpaka picha na source ukasema supu ya kuku imeisha tumboni. Leo unataka tena😁
 
 
YESU JARIA MAGAIDI WOTE WAWAISHWE KATIKA WANACHOKIAMINI
 
Aisee wewe mbishi sana.
Jana kwenye ile thread si nikikutumia mpaka picha na source ukasema supu ya kuku imeisha tumboni. Leo unataka tena😁
Ile source ipi!?
Mkuu usije ikawa una hangover ya Hansons Choice jua kali hili!?
Tulijadiliana kuhusu Iran kukataa kuisaidia Hizbollah na kuna kahabari ukakaleta.
Hiyo habari ya Houthi kusafirisha silaha mpakani uliileta lini mkuu!?
😎😎😎.
 
Kuna magaidi elfu 40 wameingia hapo Lebanon kutoka Yemen, (houthi), iraq na Syria.
Jana walikuwa wanasafirisha siraha kutoka Syria kuingia Lebanon, IDF wakaziteketeza mpakani.
Hey! yan tuseme mpaka wa Syria-Lebanon tayari IDF imeUfunga. Hakuna kenge atakayekatiza hapo akawa salama. Hao elfu 40 kama wameingi hapo Lebanon, tusubirie hatima yao. Si wamejipeleka? Safari yao hiyo itaendelezwa wawafikie mabikra 72 na mito ya pombe fasta.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Chezea nguvu ya supu ya kuku bro!?
Sichoki ng'ooooo.
Nitakuombea kazi kwa chief secretary wa Hezbollah. Maana amebaki peke yake, akupe japo nafasi 1
 
 
Mkuu tusiongee kwa kuropoka.
Huo Mpaka wa Syria na Lebanon JANA wanamgambo wa alquds wamerusha roketi kuelekea Israel.
Sasa kama pamedhibitiwa wamewezaje kurusha roketi!??
 
Umesema Houthi wamesafirisha silaha kuelekea Lebanon ndio Israel ikashambulia.
Hukusema kuwa Hizbollah kipindi inasafirisha silaha Israel imeshambulia.
Lete taarifa vizuri kaka.
Hilo ni jambo la kawaida hata mwezi uliopita walizilipua hizo infrastructure ila still silaha zikapelekwa Lebanon.
 
Hii Idea ya Mabikra 72 ni ya kijinga sana sijui Mtu anaiaminije?!
Kha! Mkuu, mbona unapingana na kuitusi ahadi ya Allah katika kitabu chake kitukufu Qur'ani?? Hebu tulia na uwaulize wahusika watakupa mwongozo. Surat Al hijr 2 ? (mm sio wa imani hiyo na kwa hivyo sijui lolote)
 
Mkuu tusiongee kwa kuropoka.
Huo Mpaka wa Syria na Lebanon JANA wanamgambo wa alquds wamerusha roketi kuelekea Israel.
Sasa kama pamedhibitiwa wamewezaje kurusha roketi!??
Mmmm! Kwani lazima roketi zinarushwa ukiwa mpakani? Tunasemea border crossing i.e. kuvuka mpaka njia ya ardhini. Subiri nao hao Al quds wajibiwe.
 
Kuna magaidi elfu 40 wameingia hapo Lebanon kutoka Yemen (houthi), iraq na Syria.
Jana walikuwa wanasafirisha siraha kutoka Syria kuingia Lebanon, IDF wakaziteketeza mpakani.

 
Kha! Mkuu, mbona unapingana na kuitusi ahadi ya Allah katika kitabu chake kitukufu Qur'ani?? Hebu tulia na uwaulize wahusika watakupa mwongozo. Surat Al hijr 2 ? (mm sio wa imani hiyo na kwa hivyo sijui lolote)
Ahadi ya kiupendeleo kabisa.
Wale hezbollah 500+ waliong'olewa genitals kwa pagers ina maana wao wataishia kula kwa macho hao mabikra 72?
 
Akili umepeleka wapi!?
Ni umeamka na hangover ya chang'aa ama double kick!?
Wewe na Said Salim Bakhresa nani ana furaha!?
Wewe na raia wa Dubai nani ana furaha?
Wewe na raia wa Brunei nani ana furaha!??
Wote hao wana mali ila furaha hawana, hawana kwa sababu malengo yao ya hapa duniani (kuifuta Israel na Wakristu) ni imposible kutimia, hata wawe na mali vipi hawawezi kuwa na furaha, raha ya waislamu ni kuwa na mamlaka hapa duniani, kwa kuwa hawayapati wanaamua kujilipua.

Wanataka kila mtu awe miserable kama wao.
 
Hatukuja kucheka hapa duniani muujiza wa kwanza wa Yesu alibadili maji kuwa pombe Yesu alikua hacheki na hakua na mzaha kama nyinyi mnaojiita wakristo na nyinyi hamfanani nae hata kidogo kwa tabia zenu.
Unafikiri kwanini hakusubiri hilo pepo ndo ageuze maji kuwa divai? kwa sababu anajua hakuna cha mito ya pombe wala bikira 72.
 
Ahadi ya kiupendeleo kabisa.
Wale hezbollah 500+ waliong'olewa genitals kwa pagers ina maana wao wataishia kula kwa macho hao mabikra 72?
Watapewa za mchongo/fake au watakopeshwa au allah wao atawanyang'anya makafir halafu zikabidhiwe wao.
 
Watapata waume 72.
Oh- Oh-Oh! Aisee!? hiyo kitu kule Firdaus hairuhusiwi kabisa. Allah wao ataona ni kwa vipi anaweza kuwasaidia. Vinginevyo itakuwa imekula kwao mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…