TANZIA Benjamini Rwegasira amefariki na kuzikwa Mkoani Kagera

TANZIA Benjamini Rwegasira amefariki na kuzikwa Mkoani Kagera

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,033
Reaction score
723
Wanabodi.
Mwandishi Mkongwe wa TBC Benjamini Rwegasira aliyekuwa katika kituo cha Bukoba na baadaye kuungua ugonjwa wa kiharusi kwa kipindi kirefu amefaiki dunia na kuzikwa katika kata ya Gera wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera.

=====
Mazishi ya Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Benjamin Rwegasira aliyefariki dunia Septemba 10, 2024 mkoani Dar es Salaam, yamefanyika leo Septemba 13, 2024 katika makaburi ya familia yaliyopo katika Kijiji cha Kateera Kata ya Gera Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Awali, Ibada ya Misa takatifu ya kumuaga Rwegasira ilifanyika katika makazı ya familia kijijini hapo.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha, Afisa Utumishi Mwandamizi wa shirika hilo Salome Magaya amesema Rwegasira atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ndani ya TBC.

Akitoa mahubiri Katekista Simon Francis kutoka Parokia ya Mgana Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waumini wa dini ya Kikristo kujiandaa na kifo
===============================
rwegasira2.png


kwa kummbukumbu za waandishi wakongwe unaweza kusoma hapa.
 
Wanabodi.
Mwandishi Mkongwe wa TBC Benjamini Rwegasira aliyekuwa katika kituo chja Bukoba na baadaye kuungua ugonjwa wa kiharusi kwa kipindi kirefu amefaiki dunia na kuzikwa katika kata ya Gera wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera.

=====
Mazishi ya Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Benjamin Rwegasira aliyefariki dunia Septemba 10, 2024 mkoani Dar es Salaam, yamefanyika leo Septemba 13, 2024 katika makaburi ya familia yaliyopo katika Kijiji cha Kateera Kata ya Gera Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Awali, Ibada ya Misa takatifu ya kumuaga Rwegasira ilifanyika katika makazı ya familia kijijini hapo.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha, Afisa Utumishi Mwandamizi wa shirika hilo Salome Magaya amesema Rwegasira atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ndani ya TBC.

Akitoa mahubiri Katekista Simon Francis kutoka Parokia ya Mgana Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waumini wa dini ya Kikristo kujiandaa na kifo
===============================
View attachment 3097263

kwa kummbukumbu za waandishi wakongwe unaweza kusoma hapa.
RIP comrade,........ ila waandishi wa habari wa Tanzania hawana impact kwenye jamii ya kuwakumbukia ndo maana wanakufa kimyakimya hata bila jamii kujua
 
Hapo Gera kiziba sikuna parokia ya mghana uwa tunaenda kuiji kila wiki jumapili ya mwisho ya mwezi wa kumi.Parokia imeshindwa kutoa ata farther mmoja kwenda kumzika mwandishi wetu wa habari au alikuwa anakwepa jumuia?
 
Wanabodi.
Mwandishi Mkongwe wa TBC Benjamini Rwegasira aliyekuwa katika kituo cha Bukoba na baadaye kuungua ugonjwa wa kiharusi kwa kipindi kirefu amefaiki dunia na kuzikwa katika kata ya Gera wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera.

=====
Mazishi ya Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Benjamin Rwegasira aliyefariki dunia Septemba 10, 2024 mkoani Dar es Salaam, yamefanyika leo Septemba 13, 2024 katika makaburi ya familia yaliyopo katika Kijiji cha Kateera Kata ya Gera Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Awali, Ibada ya Misa takatifu ya kumuaga Rwegasira ilifanyika katika makazı ya familia kijijini hapo.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayub Rioba Chacha, Afisa Utumishi Mwandamizi wa shirika hilo Salome Magaya amesema Rwegasira atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ndani ya TBC.

Akitoa mahubiri Katekista Simon Francis kutoka Parokia ya Mgana Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waumini wa dini ya Kikristo kujiandaa na kifo
===============================
View attachment 3097263

kwa kummbukumbu za waandishi wakongwe unaweza kusoma hapa.
Sote njia ni moja yeye ametangulia tu nasi tupo nyuma yake kikubwa tujiandae na hiyo safari,hakuna kitakacho ishi milele hapa duniani
 
Hapo Gera kiziba sikuna parokia ya mghana uwa tunaenda kuiji kila wiki jumapili ya mwisho ya mwezi wa kumi.Parokia imeshindwa kutoa ata farther mmoja kwenda kumzika mwandishi wetu wa habari au alikuwa anakwepa jumuia?
Rc kama hushiriki kwenye Ibada zao, means hutoi sadaka wanakutenga, RC ni wamekujia kutugawa wa tz
 
Vp Hali ya mwenzake Raymond?
Kuandika habari za uchunguzi na siasa ni hatari sana .

Ukiandika za mapendi na udaku unapendwa na kutajirika.

Rip Benjamin rwegasira WA radio Tanzania bukoba.
Duu mkuu, kwa hiyo Kuna namna Hawa waandishi kimewalamba, daa hata warioba jirani yake kabisa kamkataa
 
Back
Top Bottom