TANZIA Benjamini Rwegasira amefariki na kuzikwa Mkoani Kagera

TANZIA Benjamini Rwegasira amefariki na kuzikwa Mkoani Kagera

Mugana
1726491658179.png


1726491695007.png
 
Hapo Gera kiziba sikuna parokia ya mghana uwa tunaenda kuiji kila wiki jumapili ya mwisho ya mwezi wa kumi.Parokia imeshindwa kutoa ata farther mmoja kwenda kumzika mwandishi wetu wa habari au alikuwa anakwepa jumuia?
Rc kama hushiriki kwenye Ibada zao, means hutoi sadaka wanakutenga, RC ni wamekujia kutugawa wa tz
Kama hukuwa unasali kwao, huona umuhimu wa kushirikiana nao. Kwanini uone umuhimu wa kuzikwa na Padre. Kwani wapi imeandikwa Mkatoliki lazima azikwe na Padre mbona sala za mazishi ni zilezile.
 
Back
Top Bottom