Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
- Thread starter
-
- #21
Huyu alishafariki mwaka jana. tulimzika Muleba.Vp Hali ya mwenzake Raymond?
Kuandika habari za uchunguzi na siasa ni hatari sana .
Ukiandika za mapendi na udaku unapendwa na kutajirika.
Rip Benjamin rwegasira WA radio Tanzania bukoba.
Hivi Tz kuna habari za kiuchunguzi mlkuu? chombo gani hicho?Vp Hali ya mwenzake Raymond?
Kuandika habari za uchunguzi na siasa ni hatari sana .
Ukiandika za mapendi na udaku unapendwa na kutajirika.
Rip Benjamin rwegasira WA radio Tanzania bukoba.
Hapo Gera kiziba sikuna parokia ya mghana uwa tunaenda kuiji kila wiki jumapili ya mwisho ya mwezi wa kumi.Parokia imeshindwa kutoa ata farther mmoja kwenda kumzika mwandishi wetu wa habari au alikuwa anakwepa jumuia?
Kama hukuwa unasali kwao, huona umuhimu wa kushirikiana nao. Kwanini uone umuhimu wa kuzikwa na Padre. Kwani wapi imeandikwa Mkatoliki lazima azikwe na Padre mbona sala za mazishi ni zilezile.Rc kama hushiriki kwenye Ibada zao, means hutoi sadaka wanakutenga, RC ni wamekujia kutugawa wa tz