Benki gani naweza kufungua akaunti na nikapata ATM card papo hapo?

Benki gani naweza kufungua akaunti na nikapata ATM card papo hapo?

rechungura1

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
387
Reaction score
129
Heshima yenu wanaJF,

Naomba kujuzwa benk kwa hapa Tanzania ambayo naweza kufungua akaunti na kupata kadi ya ATM hapo hapo.

Natanguliza shukrani...
 
heshima yenu wana jf naomba kujuzwa benk kwa hapa tanzania ambayo naweza kufungua akaunt na kupata kadi ya atm hapohapo
natanguliza shurani............

CRDB, Exim, NMB, Barclays, TPB, ziko nyingi tu chaguo ni lako kulingana na gharama za ATM Card na expiry date, pia kama local au ya kimataifa 'viza/master card'
 
CRDB, Exim, NMB, Barclays, TPB, ziko nyingi tu chaguo ni lako kulingana na gharama za ATM Card na expiry date, pia kama local au ya kimataifa 'viza/master card'

Mkuu acha uongo. NMB mimi ndo benk ninayo tumia, ukifungua a/c leo lazima usubiri wiki tatu hadi nne ndo ATM card unapata, sababu matawi hayatengenezi zinatengenezwa sehem moja kwa benk husika halafu zinatumwa.
 
ndio hzo benk tajwa hapo juu kama Crdb bt àtm kard yako haitakuwa na picha .hyo huduma inaitwa voda fàster
 
Back
Top Bottom