rechungura1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 387
- 129
Heshima yenu wanaJF,
Naomba kujuzwa benk kwa hapa Tanzania ambayo naweza kufungua akaunti na kupata kadi ya ATM hapo hapo.
Natanguliza shukrani...
Naomba kujuzwa benk kwa hapa Tanzania ambayo naweza kufungua akaunti na kupata kadi ya ATM hapo hapo.
Natanguliza shukrani...