crdb kianzio n bei gan................n lazima niende hquarter or hata branch zao ni wanatoa kad siku hiyhiyo
vp iko wap hiyo bank?BancABC,TZS account 500tzs na USD account 20,000tzs
vp iko wap hiyo bank?
CRDB, Exim, NMB, Barclays, TPB, ziko nyingi tu chaguo ni lako kulingana na gharama za ATM Card na expiry date, pia kama local au ya kimataifa 'viza/master card'
crdb, exim, nmb, barclays, tpb, ziko nyingi tu chaguo ni lako kulingana na gharama za atm card na expiry date, pia kama local au ya kimataifa 'viza/master card'
hivi kwanini unakua muongo hivi... Hata kwa mambo yenyewe yapo waziwazi....
Hizo bank ulizotaja... Atm card ni not less than 3 weeks ndio utapewa ....
Only
barclays bank.
.ndio issuance ya atm card inafanyika kwa saa kadhaa tuu siku hiyo hiyo...
Ni Barclays bank pekee..ikifunguka tu weka deposit na Debit Card within 10 mins unaanza matumizi
hivi kwanini unakua muongo hivi... Hata kwa mambo yenyewe yapo waziwazi....
Hizo bank ulizotaja... Atm card ni not less than 3 weeks ndio utapewa ....
Only
barclays bank.
.ndio issuance ya atm card inafanyika kwa saa kadhaa tuu siku hiyo hiyo...
Barclays ukishafungua akaunti ambayo inafunguliwa free of charge..then ukishaanza kufanya deposit mabayo inaanzia 20,000+ unaprintiwa kadi..maana huweI pata kadi Kama hujaanza deposit.
Mimi nafanya kazi barclays so najibu kwa hakika na ninahudumia customers.