Benki gani nzuri kufanyia biashara mtandaoni?

Achana na bank za ajabu. Nilitumia CRDB nikajuta sitorudia tena. Now naenjoy sana kutumia Bank ABC.
Mi Nadhani kwa lengo la kutoa elimu, ni bora ukawa wazi, kwa nini sio nzuri, pia ni bora kuelezea uzuri huo unapimwaje..

Maana kuna wengine tu nahitaji hizi huduma, sema hatujuhi pa kuanzia.

Ahsante
 
Wapo maeneo gani
 
Wapo posta maktaba square. Au kariakoo opposite na Big Born. Au nyerere road opposite na kiwanda cha sigara.
 
Mkuu Tafadhali unaweza kutuambia Makato yake
 
Ukiwa nje ya nchi makato ni kama benki nyingine. Kila transaction ni TZS 7000
 
mkuu vp arusha hawa UBA wapo? na.ukishalipa hyo 11000 inabaki kwenye hyo card yako ama inachukuliwa na wao?
 
 
Vp Barclay's bank wakuu kwa issues za online shopping?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…