Benki gani yaweza kunipa huu mtaji?


nashukuru sana kwa bank itakua ya mwisho kabisa ka nikishindwa njia Zinngine
 
Nenda Mkombozi Commercial Bank (MCB) wanatoa ushauri mzuri sana na bila shaka wanaweza kukusaidia nariba yao siyo kubwa kulinganishwa na ya mabenki mengine!!!!
 

Hata mm nina shida kama yako mkopo wa 500 mln kwa hesabu ya haraka ya calculator utalipa kwa miaka 9 kwa sh 10 mln @ mwezi kama jumla billion 1, je return zako zitamudu hayo marejesho ? km chini ya hapo itakuwa zaidi ya miaka 15


Wakuu hamjamjibu kitalaamu inaonekana wote hamjui shida ya mtoa mada mtoa mada haitaji mkopo wa biashara ta kawaida anahitaji mkopo wa biashara wa nyumba kitaalamu tunaita CPF (commercial property Financing) ambavyo vigezo vyake ni tofauti kabisa na majibu yenu.

Kwa kifupi inawezekana yeye kukopeshwa hata kama kipato chake nikidogo na hakiwezi ku meet monthly installment bank inachoangalia ni je ana mikataba inayomwezesha kurudisha lets say 10m TZS @ month? kuna maeneo mengine kabla hujaanza kujenga kuna mabank na makampuni makubwa wana sign mikataba kabisa ya kuonyesha interest au ya kupangisha wanahitaji ramani tu na kurizika na location yenyewe.

Bank inachokifanya ina disburse hela kwa awamu, wanajenga basement lets say na mezzanine halafu watu wanapangisha au wenyewe wanamalzia mpaka juu kwa masharti kuwa all proceeds would be rooted thru the domicile bank na usi diverge to another bank.

Kama sijaeleweka uliza swali nitatoa ufafanuzi zaidi.
 

Mkuu Nguli unafamu benki gani wanaweza kutoa huu mtaji mana umeeleza vema sana hii ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…