Benki imefunga matawi yake yote

Benki imefunga matawi yake yote

Soma maelezo vzr hlf kuna haya maneno pia..."The operations of customer accounts will not be affected by this relocation."
Unadhani watakueleza ukweli kuwa wamefirisika!!???
Ndoto za wafanyabiashara wote duniani ni kukua na kutanua huduma/biashara zao, ukiona mfanyabiashara anapunguza matawi ujue kuna mkwamo.
Sitaisahau Efatha Bank.
 
Biashara ya money loundering imezimwa sasa waliozoea biashara za kijanjajanja lazima warare mbere
 
Labda kama una deni lao ndio endelea kuwalipa kwani ukichelewa saa moja tu utawaona madalali hapo mlangoni kwako wakianza kuinadi hiyo dhamana yako. Kinyume chake, funga akaunti haraka na pesa zako nileteemtufungue benki yetu
 
Utasikia mjinga akisema hela siku hizi ni kwenye simu
 
Nataka nikafungue account huko natakiwa kuwa na viambatanisho vipi jamani
 
Biashara ya money loundering imezimwa sasa waliozoea biashara za kijanjajanja lazima warare mbere
Ivi kwamfano huu mfumo wa sasaivi kubadilishia hela bank mtu huwezi kufanya Money Loundering kweli
 
"hao ni wapiga diri tu & wakwepa kodi!"-Stone
 
Back
Top Bottom