GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari
Wadau naomba mnijuze benki gani hapa bongo naweza kupata mkopo kwa dhamana ya gari
au asset za nyumbani, Nimekutana na hawa Access bank ya Kariakoo, hawana masharti magumu na wanakopesha mpaka 10 million, lakini foleni ya kupata huduma unaweza kusubiri for 3 hours, naomba tujuzane benki ambazo wana service nzuri
Wadau naomba mnijuze benki gani hapa bongo naweza kupata mkopo kwa dhamana ya gari
au asset za nyumbani, Nimekutana na hawa Access bank ya Kariakoo, hawana masharti magumu na wanakopesha mpaka 10 million, lakini foleni ya kupata huduma unaweza kusubiri for 3 hours, naomba tujuzane benki ambazo wana service nzuri