Benki ipi ina huduma ya PayPal?

sinder

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
16
Reaction score
2
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
 
Hiyo account yako ya CRDB umeisajili kufanya miamala ya namna hiyo??
 
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
Kujiunga na PayPal lazima uwe na "debit/credit card" inayoruhusu kufanya manunuzi/mauzo mtandaoni. CRDB unajaza fomu kuruhusu "card" yako hiyo.

Njia rahisi sasa hivi ni kusajiri "line" yako ya mpesa ukapata "mastercard" kisha ukaitumia hiyo kufungua "account" yako PayPal.
 
Kwahiyo kunatofaut kati ya credit card na online purchases
 
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
Hata usipate shida nenda equity bank hawa ndio wamejidhatiti ipasavyo kwenye hiyo nyanja na wanafanya kazi kwa ukaribu na watu wanaitwa pesapal aka PayPal ya kenya .hapa ukipata kadi yako inakuwa tayari inaweza kufanya malipo online .ni wewe kuisajili kadi yako na paypal then utaenda kuchukua bank statement yako utakuta kuba number zopo utaingiza account yako itakua active tayari kwa manunuzi @itexpert-laptopexpert
 
Nashukur
 
Kwahiyo kunatofaut kati ya credit card na online purchases
Kuna tofauti kubwa. Kuwa na "credit card" hakukupi tikiti ya moja kwa moja kufanya miamala ya mitandaoni (online purchases) mpaka hapo benki iliyokupa itakapoiruhusu kufanya hivyo. Kwa hapa Tz unapaswa kufanya maombi rasmi kwa kujaza fomu. Ila ya mpesa ni moja kwa moja unaitumia.
 
Sasa hivi equity hauna haja ya kuchukua bank statement yaani ukishafungua tu wanakuunganisha moja kwa moja na unaanza kutumia muda huohuo
 
Shida yote ya nini... Tumia mpesa tu.. Skuiz wana huduma ya mastercard... Mi nimeshatumia hii kwenye PayPal mara nyingi tu.. Kwanza naona ndo safe maana haiusiani kabisa na account zako za benki..
 
Equity bank wala hauitaji kufanya maombi, kadi huwa tayari kwa ajili ya miamala ya mtandaoni pale unapoipata.
 
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
Nenda equity bank pale wapo very fast kwenye hilo.....
 
Siku hizi ni M-PESA ndugu yangu dakika 5 ushakamilisha kila kitu hadi malipo
 
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua bank ipi inayo husika na PayPal nimejaribu crdb lakini sijafanikiwa naomba msaada wenu kwa anaye faham ili jambo
Crdb wameanzisha hiyo huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…