Benki kuu ya Kenya yaionya GoK kutegemea mikopo kama njia pekee ya kufadhili miradi mikubwa.

Benki kuu ya Kenya yaionya GoK kutegemea mikopo kama njia pekee ya kufadhili miradi mikubwa.

Tujifunze nini sasa wakati Tanzania inakusanya nusu ya pesa ambazo Kenya inakusanya licha ya kuwa ina ukubwa mara mbili ya Kenya, ina watu milioni 10 zaidi ya Kenya na ina resources nyingi kuliko kenya?
Vitu vya kujifunza ni vingi sana
1) Kutumia akili vizuri katika kufikiria mambo kwa ujumla, viongozi wengi na wananchi wengi wa Kenya wanamatatizo makubwa katika hilo. Hivi kama malengo ya biashara yako ni kupata faida ya $400, na ukazipata, na jirani yako malengo yake ni kukusanya $600 akapafanikiwa kupata $500, nani anayefanya vizuri?

2)Ninasisitiza tena, ni muhimu sana Kenya ikajifunza toka kwa Magufuli, huyu jamaa ni mfano wa kuigwa Africa nzima kwa jinsi anavyobadili uchumi wa Tanzania, tabia ya Kenya kutokubaliana na ukweli na kuendelea na sifa za kijinga nchi itasambaratika kama ambavyo Gavana wa Benki kuu ya Kenya anavyosema.

3)Ninakuomba upitie data za mwaka jana za makusanyo ya serikali za Kenya na Tanzania, na ulinganishe na targets za nchi, ndiyo utaachana na mawazo yako ya kizamani, sasa kama Kenya inakusanya zaidi ya Tanzania
i)Kwanini inashindwa kulisha wananchi wake, wakati population yake ni ndogo kuliko ya Tanzania, 10M less?
ii)Kwanini Tanzania imeweza kutoa elimu bure kuanzia Primary schools hadi high school, wakati population yake ni kubwa kuliko Kenya?
iii) Kwanini Tanzania imeweza kuunganisha nchi nzima kwa barabara za lami, Kenya mikoa ya kaskazi mashariki bado hakuna lami wakati Tanzania ni kubwa mara mbili ya Kenya?
iv) Kwanini Unemployment ya Kenya ni mara mbili ya Tanzania wakati population ya Kenya ni ndogo by 10M?
 
I don't get what you mean. You think he holds that position by default? The president himself recommended him. The national assembly didn't like him that much when they vetted him but his brilliance and simplicity won them over. He is doing his job as usual but you Tanzanians think he is commiting suicide or something. This goes to show that the quality of the rule of law and respect for national institutions in your country is very wanting.
His best suited for Tanzania kwasababu sio mlafi kama viongozi wengine wa Kenya

Single bank boss who spurns luxury

But that aside, even if he was porched by the President, but is president himself who is making it difficult for gov to governor to govern. President with his deputy have been on shopping spree from day one, and they don't even go for cheaper option's. The president is borrowing like there's no tomorrow, he believe his doing for the future, but it's the future which will suffer with uncontrolled dept. In Tanzania with the financial control reforms, for the fist time in years we're running trade surplus, meaning we import less than we export.
 
Ni sawa anashauri vizuri, lakini yasije kutokea ya ICT expert Musando.

Cha msingi ni kuwa nani anafurahia hiyo keki ya ziada ya Kenya, ni waKenya au wenyeKenya?? Maana haipatani na akili kuwa na keki kubwa lakini wanaofaidi hawafiki hata 10,000 kati ya population of 40+mio.
Ungetumia mfano unaostahili kama mtz mzalendo, yaani....yasije yakatokea yale ya Tundu Lissu. Usiwe na mazoea ya kulialia. Wakenya huwa hatungoji serikali itugawe vya bure, sijui keki mara noah. Kazi ya serikali ni kuhakisha kuwa kuna mazingara yanayofaa kwa wananchi wake kujiendeleza kihali na kimali. Mengine, sisi ni kama wanafunzi wa vidato vya juu. 'Spoonfeeding' achia international schools.
 
Mwanzi1 ungetumia mfano unaostahili kama mtz mzalendo, yaani....yasije yakatokea yale ya Tundu Lissu. eliakeem usiwe mtu wa kulialia, wakenya huwa hatungoji serikali ya Kenya itugawie cha bure sijui keki wala noah. Kazi ya serikali ni kuhakisha kuna mazingara mema ya wananchi wake kujiendeleza kihali na kimali. Mengine, sisi ni kama wanafunzi wa vidato vya juu, spoonfeeding achia international schools.

Hapo namaanisha kila kitu. mazingira mazuri wamewekewa watu wa central kenya, lakini watu wa west, north na kule Mombasa Repulican Council hayo mazingira wanayasikia redioni tu.
 
His best suited for Tanzania kwasababu sio mlafi kama viongozi wengine wa Kenya

Single bank boss who spurns luxury

But that aside, even if he was porched by the President, but is president himself who is making it difficult for gov to governor to govern. President with his deputy have been on shopping spree from day one, and they don't even go for cheaper option's. The president is
You get what you deserve my friend. If Magufuli is so great why have all the Tanzanian proffesionals and administrators cowered from doing what is their mandate? Through their own prompting without external interferance? Case in point, Makonda and Co. President Uhuru Kenyatta is just that, the president. Do you expect him to be also the governor of CBK, the Chief Justice, Chairman of all the government institutions? Well, the constitution of the republic of Kenya 2010 does not allow him to do that.
 
Hapo namaanisha kila siku. mazingira mazuri wamewekewa watu wa central kenya, lakini watu wa west, north na kule Mombasa Repulican Council hayo mazingira wanayasikia redioni tu.
Really? Unajua ugatuzi umewasaidia kwa kiwango kipi hao watu wa sehemu hizo ulozitaja hapo juu? Umetembea Central Kenya wewe, uone wana the same 'challenges' kama the rest of Kenya? Au ni kukariri tu? Offcourse hujafika. Naona ukikosa hoja unaanza zako kama kawa. Muda si mrefu utaanza kutaja makabila.
 
You get what you deserve my friend. If Magufuli is so great why have all the Tanzanian proffesionals and administrators cowered from doing what is their mandate? Through their own prompting without external interferance? Case in point, Makonda and Co. President Uhuru Kenyatta is just that, the president. Do you expect him to be also the governor of CBK, the Chief Justice, Chairman of all the government institutions? Well, the constitution of the republic of Kenya 2010 does not allow him to do that.
But the constitution of Kenya allows him to spend Money the way he likes, give green light to corrupt leaders to do the way they want, to borrow money for projects which are not economically viable. But when it becomes to take actions against those who are not doing their jobs properly, your best constitution comes to make sure that president doesn't.
 
You get what you deserve my friend. If Magufuli is so great why have all the Tanzanian proffesionals and administrators cowered from doing what is their mandate? Through their own prompting without external interferance? Case in point, Makonda and Co. President Uhuru Kenyatta is just that, the president. Do you expect him to be also the governor of CBK, the Chief Justice, Chairman of all the government institutions? Well, the constitution of the republic of Kenya 2010 does not allow him to do that.
I can see JF has become your main source of information about Tanzania. One thing Magufili has managed to do is to smash business as usual syndrome. People where behaving as their position is guaranteed and they can do what they want without consequences. Remember choice has consequence?? Other were paying themselves humongous salaries with very little IF any results. That notion has fade away and on its way out. Any CEO or Director who follow rules are still executing their duties as there job requeds. So I'm not sure what you mean Makonda & co. Is Magufuli in operation theatre performing heart surgery? Is he flying ATCL planes??, is he a chef in some 5 start hotel arranging new delicious menu??
 
I can see JF has become your main source of information about Tanzania. One thing Magufili has managed to do is to smash business as usual syndrome. People where behaving as their position is guaranteed and they can do what they want without consequences. Remember choice has consequence?? Other were paying themselves humongous salaries with very little IF any results. That notion has fade away and on its way out. Any CEO or Director who follow rules
ATCL? How comes am not familiar with that airline? Hehehe. Magufuli the surgeon, Magufuli the chef, Magufuli the pilot.
 
If you haven't heard ATCL you haven't lived, [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Please explain it to me. Where do they ply their trade? Do they fly straight to America? Please don't direct me to articles by NASA bloggers. I see you frequently visit their sites to get your information about Kenya and U.Kenyatta.
 
Huyu jamaa is best suited for Tanzania than Kenya. Magufuli would've work with him very well. I'm not sure taking political post would be his thing, there is so much back rubbing in politics which I don't believe Mr. Njoroge would've want that.
A cabinet position is not a political position, it is a very professional position, all you need is to be a good manager who is reactive and hands on and that's it.... Just talk about policies and let Kenyans know your plans and what you are doing and you will do fine...

And no, huyuu jama is the right kind of Kenyan, do you think he would have been named Africa's central bank governor of the year three times in a row if the government didint listen to him and followed his lead? Just because the inerest cap didn't go his way doesnt negate the fact that he has been given so much leeway to determine best monetary polices

wp_ss_20180125_0005.png
 
A cabinet position is not a political position, it is a very professional position, all you need is to be a good manager who is reactive and hands on and that's it.... Just talk about policies and let Kenyans know your plans and what you are doing and you will do fine...

And no, huyuu jama is the right kind of Kenyan, do you think he would have been named Africa's central bank governor of the year three times in a row if the government didint listen to him and followed his lead? Just because the inerest cap didn't go his way doesnt negate the fact that he has been given so much leeway to determine best monetary polices

View attachment 684175

In theory yes, CS position is meant to be non political and impartial. But, and that is a BIG BUT, is that often the case? Some CS are career politicians and they're not hiding their political beliefs. Just last election some CS we're roaming the country campaigning for Jubilee to be reelected. All this was pressure from the party and the boss himself, obviously Njoroge won't sign up for that kind of treatment.
 
Ungetumia mfano unaostahili kama mtz mzalendo, yaani....yasije yakatokea yale ya Tundu Lissu. Usiwe na mazoea ya kulialia. Wakenya huwa hatungoji serikali itugawe vya bure, sijui keki mara noah. Kazi ya serikali ni kuhakisha kuwa kuna mazingara yanayofaa kwa wananchi wake kujiendeleza kihali na kimali. Mengine, sisi ni kama wanafunzi wa vidato vya juu. 'Spoonfeeding' achia international schools.
Mazingira gan wakati serikali yenu hata ajira hampati au mazingira ya kufanya ukora mchana kweupe???
 
Mazingira gan wakati serikali yenu hata ajira hampati au mazingira ya kufanya ukora mchana kweupe???
Huku Kenya viwanda vinafunguliwa kila uchao, jambo ambalo nimedhibitisha mimi na macho yangu mawili. Sasa kama hayo si kwasababu ya mazingara mema ya kibiashara, sijui tunangoja nini kingine.
 
Huku Kenya viwanda vinafunguliwa kila uchao, jambo ambalo nimedhibitisha mimi na macho yangu mawili. Sasa kama hayo si kwasababu ya mazingara mema ya kibiashara, sijui tunangoja nini kingine.
Saa kama viwanda vmejaa y ajira iwe mtihan kwenu kwan hivyo viwanda wanaajiliwa kina nani..nieleweshe buda
 
Saa kama viwanda vmejaa y ajira iwe mtihan kwenu kwan hivyo viwanda wanaajiliwa kina nani..nieleweshe buda
Wakenya wengi ambao wapo classified kama unemployed wanajiajiri wenyewe. Wanabiashara. Lakini bongolala kuelewa hilo itakuwa ni shida. Sitajisumbua kujaribu kukuelimisha. Shida ipo wapi sasa si nchi yenu tz ni ya kitajiri, kila mtu ameajiriwa, kila kitu kipo frehi tu? Viwanda kila kona. Haya basi, tuache sisi wakenya na umasikini wetu.
 
Wakenya wengi ambao wapo classified kama unemployed wanajiajiri wenyewe. Wanabiashara. Lakini bongolala kuelewa hilo itakuwa ni shida. Sitajisumbua kujaribu kukuelimisha. Shida ipo wapi sasa si nchi yenu tz ni ya kitajiri, kila mtu ameajiriwa, kila kitu kipo frehi tu? Viwanda kila kona. Haya basi, tuache sisi wakenya na umasikini wetu.
Tunaelimishana hapa saa naona ka we umechukulia vita anko ...mi nataka kuelewa tu sababu hata tz ambao hawajaajiliwa sector rasmi nao huku wamejiajili kwenye biashara kilimo ..nachotaka kujua kuhusu kenya y wanasema watu hawana ajira au huko kwenu mtu akijiajili anaonekana unemployed???nielimishe hapo
 
Back
Top Bottom