Benki Kuu ya Tanzania yatoa Taarifa kuhusu Wizi katika Sekta ya Benki, miamala ya simu yaongoza kwa wizi

Benki Kuu ya Tanzania yatoa Taarifa kuhusu Wizi katika Sekta ya Benki, miamala ya simu yaongoza kwa wizi

Staff wakishirikiana na systems administrators wanapiga jangusho kila kukicha....Kuna jamaa siku hiyo kalewa anaropoka kwamba ka program system kwa kila transaction inayofanyika sh...3 inaingia kwenye line yake ya simu....Sasa tukikatwa sh. 3 hatuoni maumivu.....lakini kwa mamilioni ya watu wanaotumia huduma hiyo......?
Sure, kuna namna nimekua nikikatwa ela ndogo ndogo kwenye account ya nmb bank bila kuelewa sababu ya hayo makato
 
Kuna muda unakuja muda utafika utafanya makubwa utakua unaiambia AI nenda Bank A kachukue kiasi fulani weka kwenye a/c fulani unaipa Namba ya a/c, AI anaenda anakwangua vibunda anakuwekea kwenye a/c alafu basi mchezo umeishia hapo, km sasa hivi unavyoiambia AI nichoree kinyago cha Trump
 
Staff wakishirikiana na systems administrators wanapiga jangusho kila kukicha....Kuna jamaa siku hiyo kalewa anaropoka kwamba ka program system kwa kila transaction inayofanyika sh...3 inaingia kwenye line yake ya simu....Sasa tukikatwa sh. 3 hatuoni maumivu.....lakini kwa mamilioni ya watu wanaotumia huduma hiyo......?
Mtandao gani huo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
..
Taarifa hii inalenga kusaidia katika kuboresha udhibiti wa ndani ili kupunguza hasara za baadaye zinazotokana na wizi katika sekta ya benki....
Hapo ni wazi BOT hawajastusshwa wala kuguswa na wizi huu ndo maana wanaona waendelee kuboresha mifumo ya transaction salama. Tunajua ukuaji wa teknolojia ni lazima ratiba ya uboreshaji mifumo itekelezwe.

Tuliokwapuliwa hela zetu hakuna mahala wala mtu wa kusaidia recovery.

Tanzania tunasumbuliwa na vitu vitatu vikubwa
1. Kutotii wala kufuata sheria
2. Recovery plan
3. Backup standby.

Mfumo wetu wa fedha unakosa hizo hadidu tatu hapo juu
 
Mobile and Internet
Banking (including
cyber-attacks) ::

Cyber-attacks inaingiaje wakat bank zote zina request otp code ? au tuseme wanaclone sim card
Mimi huwa nasema ukisha ruhusu wizi kwenye saduku la kura, unakuwa tumeruhusu wizi kwenye kila kitu. Ukitaka kukomesha wizi tuanze na katiba mpya, ili tukomeshe wizi wa kura. Tukiwa ikiwa Hilo nchi itanyoka. Ukikomesha wizi wa kura umekomesha wizi wa mitihani mashuleni. Umekomesha wizi haki za kuajiriwa yaani kwenye offisi zote wataajiriwa watu wenye uwezo na sio wenye kadi za Chama.
 
Na kwamba hao wenye hayo magari ni sehemu ndogo sana ya population ya nchi
Hii inaonyesha dhahiri weledi mdogo wa watu wanaoongoza nchi hii!
Nchi hii ina wasomi wengi wa kutukuka lakini cha kushangaza ccm inaona ni bora nchi iongozwe na hawa vilaza ili waendeleze wizi wao!
 
Back
Top Bottom