Benki Kuu yasema “Application 55 za Mikopo ya Mtandaoni hazijasajiliwa”

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Your browser is not able to display this video.
Imeelezwa kuwa program tumizi (Application) 55 zinazotumika kutoa mikopo mitandaoni hazitambuliki na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Hayo yameelezwa na Afisa Mkuu Mwandamizi wa BoT, Deogratius Mnyamani na kuongeza kuwa baada ya muda wa uhakiki kupita, Application hizo zitafungiwa kutoa huduma.

Application zinazotambulika na kupewa kibali maalum cha kukopesha mtandaoni kutoka BoT hadi sasa ni 29 na zinapatikana katika tovuti ya Benki Kuu.
 
Mamlaka zinafanya kazi Gani? Imeanza moja, mbili, tatu mpaka hamsini na Tano hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi yao!
 
Hizo zinazotambulika na BOT ni zipi?Mbona kwenye website hakuna zinapoonekana hata kwenye ile orodha ya wakopoeshaji waliosailiwa na BOT?
 
Hizo zinazotambulika na BOT ni zipi?Mbona kwenye website hakuna zinapoonekana hata kwenye ile orodha ya wakopoeshaji waliosailiwa na BOT?
Ndiyo NAMI nashangaa, ila mpaka kieleweke Hawa jamaa siwataki kabisa na Hawa ndiyo maadui namba moja wa taifa
 
Kama watanzania tuungane kuhakikisha wanasajiliwa na wale wajanja janja washughulikiwe
 
I hope mkiwakamata made madeni yetu yatafutiwa 😆 😂 😆 😂
 
Wangeorodhesha hizo 29 ili sisi tuzijue tunazozisikia zipo au la.
Si ndio hapo,hawa bot ndio wahuni wanaowaendekeza.

Hata ukienda huko kwenye hiyo tovuti yao hazipo open,sijui wanachoficha ni nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…