Benki Kuu yatoa onyo kwa wanaotupa hela na kuzikunja kama mapambo kwenye sherehe

Watuache bhna hela watu wanaisotea kuipata acha waikunjekunje tuu🤣🤣
 
Hasara roho,pesa makaratasi wala hayaumii...
 
Hela wenyewe za karatasi ikipata maji kidogo ndio imeshatika asili yake, watu sikuizi wanatumia hela za plastic, yaani hata uifue, uikunje upake kilanaina yauchafu kitu kiko vilevile kama kipya
 
Kwenye barua kuna sehemu imeandikwa "matendo hayo yanatweza fedha ya Tanzania..."

jamani, jamani, jamani hivi ukweli wa hilo uko wapi, nimejikuta nacheka tu. viongozi pambaneni na serious issues ktk hili taifa, fedha ya nchi haidharauliki kwa sababu ya kutunzana
 
Mimi hua naona kama ni aina fulani ya ushamba tu kama ushamba mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…