BENKI NA M-PESA: Nani alipashwa kuwa kibarua wa mwenzake?

BENKI NA M-PESA: Nani alipashwa kuwa kibarua wa mwenzake?

Mbekenga

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2010
Posts
3,262
Reaction score
8,144
Nimekuta dirisha la CRDB na Benki ya Posta zikitoa huduma za M-Pesa. Swali langu ni kwamba benki zimekubali kwamba haziwezi kuwa na mbadala wa kuwaondoa M-Pesa kwa mkakati wa kibiashara mpaka wanakubali kuwa vibarua wao?

Nawafananisha na serikali kukaribisha wawekezaji halafu inaanza kubembeleza ajira, ushuru, mirahaba n.k
 
Nimekuta dirisha la CRDB na Benki ya Posta zikitoa huduma za M-Pesa. Swali langu ni kwamba benki zimekubali kwamba haziwezi kuwa na mbadala wa kuwaondoa M-Pesa kwa mkakati wa kibiashara mpaka wanakubali kuwa vibarua wao?

Nawafananisha na serikali kukaribisha wawekezaji halafu inaanza kubembeleza ajira, ushuru, mirahaba n.k

Mkuu TPB branch gani?

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
TPB Arusha hapa Clock tower, nafikiri hata Meru ni vibarua wa M-Pesa
 
TPB Arusha hapa Clock tower, nafikiri hata Meru ni vibarua wa M-Pesa

Hilo dirisha lipo ndani ya benki au nje,maana nimeona dirisha la mpesa,tigopesa hapa kkoo branch lkn nje.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Nimekuta dirisha la CRDB na Benki ya Posta zikitoa huduma za M-Pesa. Swali langu ni kwamba benki zimekubali kwamba haziwezi kuwa na mbadala wa kuwaondoa M-Pesa kwa mkakati wa kibiashara mpaka wanakubali kuwa vibarua wao? Hata hivyo sioni njia rahisi ya mabenki kupambana na makampuni ya simu bila kuvunja sheria au maadili.

Nawafananisha na serikali kukaribisha wawekezaji halafu inaanza kubembeleza ajira, ushuru, mirahaba n.k
Ubepari mkuu....watu wanaangalia faida zaidi.
 
mkuu nadhani huelewi vizuri hizi biashara, Huduma za mitandao ya cm na bank zinategemeana saana, maana hii mitandao ya simu si sawa na bank, ndo maana iko kibiashara zaidi, kwa mfano hiwezi weka laki moja kwenye mpesa ukatoa laki moja hiyo huyo,
isitoshe wafanya biashara wengi wa mitandao ya simu hawana pesa za kutosha kwa mfano unaweza kuhitaji mil moja na nusu wakakosa lakini ukienda kutoa bank unapata, nilitegemea ungesifia kwa bank kukubali kuisuport huduma hii,
 
ikumbukwe kuwa madirisha unayo yaona kuwa ni ya M-PESA (mfano CRDB mlimani) ni kwa ajili ya mawakala tu na si mteja mmoja mmoja kuchukua hela yake!hivyo m-pesa naye ni mteja katika benk husika!!
 
ikumbukwe kuwa madirisha unayo yaona kuwa ni ya M-PESA (mfano CRDB mlimani) ni kwa ajili ya mawakala tu na si mteja mmoja mmoja kuchukua hela yake!hivyo m-pesa naye ni mteja katika benk husika!!

Umenena
 
pale kuna akaunti ya M-pesa mkuu siyo kama unavyofikiria........... hlf biashara siyo vita ,watu wanaangalia faida.
hujaona huduma nyingi za kibenki zinapatikana kwenye simu pia?
 
Nimekuta dirisha la CRDB na Benki ya Posta zikitoa huduma za M-Pesa. Swali langu ni kwamba benki zimekubali kwamba haziwezi kuwa na mbadala wa kuwaondoa M-Pesa kwa mkakati wa kibiashara mpaka wanakubali kuwa vibarua wao?

Nawafananisha na serikali kukaribisha wawekezaji halafu inaanza kubembeleza ajira, ushuru, mirahaba n.k

Ukishindwa kupambana naye ungana naye
 
mkuu nadhani huelewi vizuri hizi biashara, Huduma za mitandao ya cm na bank zinategemeana saana, maana hii mitandao ya simu si sawa na bank, ndo maana iko kibiashara zaidi, kwa mfano hiwezi weka laki moja kwenye mpesa ukatoa laki moja hiyo huyo,
isitoshe wafanya biashara wengi wa mitandao ya simu hawana pesa za kutosha kwa mfano unaweza kuhitaji mil moja na nusu wakakosa lakini ukienda kutoa bank unapata, nilitegemea ungesifia kwa bank kukubali kuisuport huduma hii,


Nilitupia thread hii baada ya kuona rafiki yangu akifanya transaction ya laki tano. Kabla yake alikuwepo jamaa aliyeweka Milioni na aliyemfuata akatoa 1.5M. Mambo mengine naendelea kueleweshwa lkn sidhani kama nimekosea sana maana bank zenyewe zinakubali kwamba mitandao ya simu imeharibu soko
 
Mkuu usistaajabu ni biashara tu,mawakala tu ndo wanaingiziwa fedha hapo na si wateja wa kawaida,ni customer capter strategy ya business mkuu,crdb hawawezi kuwa wajinga kufanya kitu kisichokuwa na faida kwao
 
Mtoa mada kama ulikuwa huna taarifa.Naomba ufahamu yafuatayo kuusu iyo huduma unayoita ya mpesa.
1) Huduma hii ulianza miaka 8 iliyopita apa tanzania.Kenya wao walianza muda mrefu zaidi yetu.
2)Biashara hii ibajulikana kama Mcom.Maana yake ni mobile commerce kwa kupitia mitandao ya simu.Na kwa nchi zinaeoendelea Bill gate anazisapoti sana ili biashara hii ikue zaidi.
3) Bank zifuatazo zinatoa hiduma ya mcom na nitakupa sababu zake.
CRDB zote
BOA Bank zote
TPB zote
Diamond trust bank zote.
Bank hizi zinatoa huduma ya Mpesa na airtel money tu.
Huduma hii inatolewa kwa mawakala tu na sio mtumiaji wa mwisho.
Sababu za bank kutoa huduma hii.
Bank zote zipo kibiashara na kwa sasa biashara yenye mzunguko.mkubwa wa pesa na magin kubwa ni mcom.Ivyo mabank wamelazimika kutoa huduma iyo ili na wao waweze kutengeneza faida kubwa.
wabapataje faida?
Bank wanamikataba na izi kampuni za simu.Kama wakala akija bank kununua float.yaani kuweka electroniki money kwenye simu yake bank wanapata faida ya 0.05%Ya kiasi cha pesa ambacho wakala ameweka kwenye smu yake.So Umeelewa sasa
 
Back
Top Bottom