Ushauri kwa bank jaribuni kuajiri wadada wasichana wachogo niliacha kwenda posta bank kwa sababu kuna wamama kibao. Halafu bank hii ina wazee mda wote ukifika kazi kutumwa tumwa 'eeh kijana hebu kalete ule mkongojo wa mzee pale chini'. "Hebu we kijana rudi nyuma ya mstari tuwahudumie wazee'