'mbona muna kwemu vibaya'Sasa wabebe nini mbona muna kwemu vibaya hii concept.
Ulitaka niandike Claim au ?'mbona muna kwemu vibaya'
Sijaelewa kabisa.
Kumbe claim=kwemu?Ulitaka niandike Claim au ?
Kumbe claim=kwemu?
Nilikua sijui,lugha imepanuka sana.
Nilijua watu kama we lazima wawepo kwenye commentsSasa kuna tawi lao humu? Au unataka tujue ulienda kuchukua m.12
Mkuu usipende kujifanya mjuziKumbe claim=kwemu?
Nilikua sijui,lugha imepanuka sana.
Kwa hio huko mtaani kwenu ukisema kwemu mtu anaelewa una maanisha claim sio?Mkuu usipende kujifanya mjuzi
Kwemu ni neno tunalotumia kilasiku limetokana na neno claim sasa sijui shida yako nini.
Kumbe claim=kwemu?
Nilikua sijui,lugha imepanuka sana.
Hahah mzee baba we jua tu huku mtaani kwetu claim=kwemu ni maneno yanayofanana.Hahahaha ww jamaa jau sana ....umechapia lakin unakomaaa hahahaha safi sana mkuu kwa mikazo yako.
[emoji23][emoji23][emoji23]haa ndio naona sasahivi kwamba naandika ‘kwemu’ baada ya ‘Klemu'Hahah mzee baba we jua tu huku mtaani kwetu claim=kwemu ni maneno yanayofanana.
Humu wanaweza kupitia mameneja wao wakaona hilo swala,jamiiforum ni pana sana ujueSasa kuna tawi lao humu? Au unataka tujue ulienda kuchukua m.12
Nimeangalia ID mara mbili nilidhani ni Kiduku. Au labda kachanganya ID.
Teh teh[emoji2956]Kwa hio huko mtaani kwenu ukisema kwemu mtu anaelewa una maanisha claim sio?
Nilikua sijui mzee baba,lugha inakua sana.
Jaribu kuficha ujinga ndugu yangu. In case you didnt notice, Jamii forum kwa sasa ndio mtandao mkuu Tanzania. Ni juzi tu Mzee Melo kaitwa White House kapewa tuzo. Sasa ujue mambo yote yanayojadiliwa hapa huwa yanawafikia wahusika popote walipo TanzaniaSasa kuna tawi lao humu? Au unataka tujue ulienda kuchukua m.12
[emoji3][emoji3]Jaribu kuficha ujinga ndugu yangu. In case you didnt notice, Jamii forum kwa sasa ndio mtandao mkuu Tanzania. Ni juzi tu Mzee Melo kaitwa White House kapewa tuzo. Sasa ujue mambo yote yanayojadiliwa hapa huwa yanawafikia wahusika popote walipo Tanzania
Unajua anazipeleka wapi?Mkuu kwa nini bado unachukua cash kwa nini usifanye electronic transactions?
Mkuu, Nina shida na noti za buku buku kama 5M lakini nataka noti mpya, ila sina account huko. Nikienda wanaweza kunipa?Wakuu hawa jamaa ukitoa hela hawakupi noti za elfu 10 wanakwambia hawana na hii ni mara zote. Juzi tulitoa milion 12 tukapewa mabunda ya elfu 2 na elfu 5.
Leo tena ndo wameniacha hoi jamaa yangu katoa milion 10 kapewa mabunda ya buku buku. Yaani katoka utafikiria kabeba milioni mia moja kumbe milioni kumi tu. Mtu unaweza kuvamiwa hivi hivi kwa hela chache tu. Acheni hizo.
View attachment 1282296
Mkuu,japo ni hatari kama unavyosema ila wakati mwingine Commercial banks huwa hawana namna maana na wao hua wanatoa oda benki kuu
Hivyo na Benki kuu nao wanaweza kuwa wamewapa noti nyingi za 1000,na chache za 10,000 na 5,000 kutokana na wao wanavyo balance mzunguko wa fedha,hivyo huwa nao hawana jinsi na hawawezi kukataa kwakua sana shida na lazima wazigawe tu kwa namna yoyote ile.
Lakini kama wanazo halafu wakakupa hizo basi hawakutendei haki.
BOT ndio wanabana,maana wao ndio wanacontrol mzungukoHivi karibuni niliambiwa huko noti za 1000 zilikua adimu sana kwenye mabenki. Sijui ndo BOT ndo njia wanayotumia kuziingiza sokoni?
Nenda tu watakupa tena mpya kabisa ziko sealedMkuu, Nina shida na noti za buku buku kama 5M lakini nataka noti mpya, ila sina account huko. Nikienda wanaweza kunipa?