Benki ya Barclays mjue hivi mnavofanya mnahatarisha usalama wetu na kutupa mzigo

Benki ya Barclays mjue hivi mnavofanya mnahatarisha usalama wetu na kutupa mzigo

Mkuu usipende kujifanya mjuzi

Kwemu ni neno tunalotumia kilasiku limetokana na neno claim sasa sijui shida yako nini.
Kwa hio huko mtaani kwenu ukisema kwemu mtu anaelewa una maanisha claim sio?

Nilikua sijui mzee baba,lugha inakua sana.
 
Sasa kuna tawi lao humu? Au unataka tujue ulienda kuchukua m.12
Jaribu kuficha ujinga ndugu yangu. In case you didnt notice, Jamii forum kwa sasa ndio mtandao mkuu Tanzania. Ni juzi tu Mzee Melo kaitwa White House kapewa tuzo. Sasa ujue mambo yote yanayojadiliwa hapa huwa yanawafikia wahusika popote walipo Tanzania
 
Jaribu kuficha ujinga ndugu yangu. In case you didnt notice, Jamii forum kwa sasa ndio mtandao mkuu Tanzania. Ni juzi tu Mzee Melo kaitwa White House kapewa tuzo. Sasa ujue mambo yote yanayojadiliwa hapa huwa yanawafikia wahusika popote walipo Tanzania
[emoji3][emoji3]
 
Wakuu hawa jamaa ukitoa hela hawakupi noti za elfu 10 wanakwambia hawana na hii ni mara zote. Juzi tulitoa milion 12 tukapewa mabunda ya elfu 2 na elfu 5.

Leo tena ndo wameniacha hoi jamaa yangu katoa milion 10 kapewa mabunda ya buku buku. Yaani katoka utafikiria kabeba milioni mia moja kumbe milioni kumi tu. Mtu unaweza kuvamiwa hivi hivi kwa hela chache tu. Acheni hizo.

View attachment 1282296
Mkuu, Nina shida na noti za buku buku kama 5M lakini nataka noti mpya, ila sina account huko. Nikienda wanaweza kunipa?
 
Hivi karibuni niliambiwa huko noti za 1000 zilikua adimu sana kwenye mabenki. Sijui ndo BOT ndo njia wanayotumia kuziingiza sokoni?
Mkuu,japo ni hatari kama unavyosema ila wakati mwingine Commercial banks huwa hawana namna maana na wao hua wanatoa oda benki kuu

Hivyo na Benki kuu nao wanaweza kuwa wamewapa noti nyingi za 1000,na chache za 10,000 na 5,000 kutokana na wao wanavyo balance mzunguko wa fedha,hivyo huwa nao hawana jinsi na hawawezi kukataa kwakua sana shida na lazima wazigawe tu kwa namna yoyote ile.

Lakini kama wanazo halafu wakakupa hizo basi hawakutendei haki.
 
Hivi karibuni niliambiwa huko noti za 1000 zilikua adimu sana kwenye mabenki. Sijui ndo BOT ndo njia wanayotumia kuziingiza sokoni?
BOT ndio wanabana,maana wao ndio wanacontrol mzunguko
 
Back
Top Bottom