Wakuu hawa jamaa ukitoa hela hawakupi noti za elfu 10 wanakwambia hawana na hii ni mara zote. Juzi tulitoa milion 12 tukapewa mabunda ya elfu 2 na elfu 5.
Leo tena ndo wameniacha hoi jamaa yangu katoa milion 10 kapewa mabunda ya buku buku. Yaani katoka utafikiria kabeba milioni mia moja kumbe milioni kumi tu. Mtu unaweza kuvamiwa hivi hivi kwa hela chache tu. Acheni hizo.
View attachment 1282296