Benki ya CRDB yapunguza viwango vya riba ya mikopo na kuongeza muda wa marejesho kwa watumishi

mie hii bank sina hamu nayo nimeomba mkopo wamenisumbua kuhangaikia madocoment nimefika pale kufuata maelekezo zaidi ya mara 3 mwisho nimetimiza anatokea dada analamba midomo ananijibu huku anazungusha kiti na kuniambia atukukopeshi sababu hatujui bishara yako uku anaongea na simu anatongozwa anaitwa lidiya pale sinza nilichukia sana kunisumbua na kupoteza pesa bora angeniambia mapema nisinge sumbuka na kupoteza pesa za maandalizi kuna maafisa ukiomba mkopo kama unaomba pesa ya bule vile ikiwa crdb ndio bank yangu nnyozungushia pesa za biashara nlichukia kudharau muda wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nafikiri bank isiyoenda na wakati na biashaara za mazoea wanazoziina kwa macho kila siku tanzania ya viwanda wengine wanafanya siasa baada ya kuchunguza mapato wanaleta ujuaji wa kuzijua buashara nafikiri mie sio mchaga ningekopeshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mfano una biashara yenye thamani ya 10m na mzunguko kwa mwezi kama 4.5m, nikiwa na maana walau kwa siku mauzo yanafika 150k.

ni vema ukachukua kiasi cha mkopo ukizingatia hali ya biashara yako, sio unaenda kubeba mkopo rejesho la mwezi kama hivi 3m, napo umetumia sehemu ya mkopo wa biashara kununua gari au kwa matumizi yoyote tofauti na kusudio lazima upige mbizi kwenye lami

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Tanzania daima gazeti la Jana ukurasa wa mbele liliandika Serikali yaziamuru benki kushusha riba LAKINI NI Kama habari ambayo haikupewa uzito wa juu na vyombo vya habari nchini au NI Chungu kwa Mabenki au Tanzania Daima wameiyoa wapi habari hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali ikitaka kurahisisha huduma fulani kwa wananchi ni sharti wafanye upembuzi wa gharama za utoaji wa huduma hiyo. ikiwa gharama inachangiwa na tozo za serikali wanapaswa kuangalia uwezekano wa kupunguza au kuondoa hizo tozo.

ikiwa riba inashuka bila kuwa na mpango wa kusaidia hizo benki hususani kushusha tozo za serikali ni dhairi benki zitasinyaa.

pia ikiwa riba itashuka lakini mazingira ya tunakopoleka hiyo mitaji kuwa chechefu, ni dhairi kazi bure
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo tu ndugu. I feel you. Wanataka uwanyeyekee kama wanakupa bure. Silly. Wale maafisa mikopo ni hovyo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…