Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

Unaelewa Lina shoot kwa sababu zipi? Na kwa nini li shoot within very short period of time?
 
Wewe kwa akili zako mbovu unaona ni kweli kakopa til.14? Unaweza ainisha hiyo mikopo?

Serikali haikopi nje ya ukomo wa bajeti,nimeshaweka hapo juu attachment ya mikopo iliyoidhinishwa ila kichwa umejaza uji ndio maana huelewi.

Nakuuliza tena unadhani kwa nini deni limeongezeka kwa mda haraka ndani ya mda mfupi?
 
Unachomaanisha ni kwamba Tanzania ilikua inajiweza kwa bajeti yake 100% toka 9/12/1961 mpaka pale tulipovamiwa na amini!!??..huoni Kama unadanganya,unamaanisha mwalimu hakukopa,muungano unetokana na shinikizo la us na uk,wakihofia abdulrahmaan babu(mkomyunist msomi) kuigeuza zenji kuwa Cuba ya Africa,babu akiwa karibu na uchina na akipata msaada,kung'atuka si kutoka kwa hiyari...inatokana na shinikizo la Sina Fulani,baada ya ujamaa kufeli na kuwa tumetoka vitani,hapakua na sehemu ya kupata mikopo/misaada,maana Soviet mwenyewe akihitaji pesa imf,ndiyo tukapewa sharti la sap,kuona hakuna namba mzee aka-oversee sap 1 Kama unavodai,Kisha akakaa pembeni akiwa bado na hamu ya madaraka,ndomana akiutaka uenyekiti wa chama tawala,akampindua kumbe,akamsema Sana mwinyi utawala wake,hii yote ilionesha bdo kuyapenda madaraka Ila ndo hivi hakutaka kugeuka jiwe la chumvi
 
hapa hatubishani bali tunaelekezana....! a tje sunk inatakiwa na wewe uwe tayar pindi na sisi yutakapoanza kutumia maneno ya kejeli

kikubwa usi mind tu maana maranyingi we huwa unapenda sana kuongea junk language! swa mimi kichwa changu kimejaa uji & akili zangu mbovu upo sahihi sana

sema tu nasisitiza tena na wewe usijiskie vibaya pindi na mimi nitakapotumia ligha mbofu mbofu
 

Attachments

  • HALIMA_MDEE_AIBUKA_NA_HOJA_YA_MIKOPO_YA_NJE__TUIPUNGUZIE_SERIKALI_MZIGO_(720p).mp4
    33 MB
  • HALIMA_MDEE_AIBUKA_NA_HOJA_YA_MIKOPO_YA_NJE__TUIPUNGUZIE_SERIKALI_MZIGO_(720p).mp4
    33 MB
Haijawahi tokea,afu Kukopa sio kwamba nchi ni maskini.
 
Mastresss tunayo mengi sana bado na hili tumeisha
 
Kazi na bata haifai, nchi zote zikizoendelea walijifunga mkanda kuwatengenezea wajukuu zao na vitukuu vyao !! Sisi tumetanguliza matumbo yetu mbele ili tuwaachie madeni wajukuu na vitukuu waje walipe wao !! " KAZI NA BATA " JAZA UJAZWE !! Tumesahau kuwa KILIMO ndio UTI was mgongo wa nchi yetu !! ARDHI nzuri ipo Watu wapo maziwa makuu yapo, mito IPO mvua pia zipo !! Je tunakwama wapi ??!! Tunasoma sana lakini ajira hakuna !! ARDHI Inatuangalia inatushangaa !! Waswahili wanasemaga ukianguka angalia ulijikwaa wapi ??!!
 
Kwa mujibu wa report ya Benki ya dunia uhimilivu wa Tanzania kwa madeni umepungua ghafla na wakati wowote nchi itakuwa highly indebted country in the world.imehama kutoka stage low hadi moderate.Ni muhimu sasa kuangalia mikopo itakayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja
 
Kwahiyo tujiandae kwenye kuishi Ukraine nchi inaenda kuuzwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…