Benki ya Dunia: Toleo la 15 la Ripoti ya Hali ya Kiuchumi ya Tanzania

Benki ya Dunia: Toleo la 15 la Ripoti ya Hali ya Kiuchumi ya Tanzania

Eti very very law; hivi hii Lugha mnaitakisha nini nyie wabembe wa Ufipa United?
Hao ni CCM wenye PhD za jalalani wasiojua hiyo lugha ya Malikia wanajaribu kujitutumua wajulikane nao wamo zaidi ya Kisukuma kumbe ndo wanazidi kuonyesha umbumbumbu wao.
 
Hao ni CCM wenye PhD za jalalani wasiojua hiyo lugha ya Malikia wanajaribu kujitutumua wajulikane nao wamo zaidi ya Kisukuma kumbe ndo wanazidi kuonyesha umbumbumbu wao.
Ahahahahahaha King Jaja of Opobo mkubwa wee
 
Kuna mmoja hapa anaujua ukweli Ila wanategesheana!!

Maana imekuwa karibu Kila mara Tanzania na ripoti za WB!!

Kuna kitu, si bule
 
Back
Top Bottom