Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Zitto ni tatizo
Zitto siyo Tatizo hapa……! Tatizo ni Serikali ya Magufuli iliyoko madarakani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni tatizo
Hivi mkuu ni kweli kabisa unasema kuwa serikali imefumbia macho suala la mimba za utotoni??? Upo Tanzania hii au??Hili Tatizo sio dogo wala la kisiasa. Kabla hatujawazuia watoto kusoma shule kwa mimba tuangalieni vyanzo vya mimba utotoni. Tumekuwa na jamii ambayo ni wepisi kulaumu watoto bila kulaumu mila za kizamani na zisizo na maendeleo sehemu nyingine.
Kuna jamii wanaruhusu watoto waolewe wakiwa wadogo sasa serikali hiyo hiyo inasema lazima mtoto asome na serikali hiyo hiyo inasema huwezi kusoma na mimba. Hatutaweza kutatua matatizo kama serikali inafumbua macho mila zetu hasa vijijini. Pili hili Tatizo Vilevile ni la nafasi watoto wa masikini tu ndiyo wataahidwa kusoma.
Ni lazima tuweke sheria ngumu lakini mila zingine nazo tusiziache tu. Hebu tuonyesheni wangapi walio jela kwasababu ya mimba za utotoni!
UN and the likes inaamini kwenye CSOs na NGOs kwamba wako independent
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali masharti kuwa watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!
Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Hili suala sio rahisi kama ambavyo baadhi ya washabiki wa wanasiasa wanavyoshangilia ndio maana CHADEMA wameamua kukaa kimya kwa sababu wanajua ugumu wake kijamii na kiimani ya dini!
Mkuu jadili ideas sio mipasho
Hapa Tanzania hata kabla ya Rais wa sasa JPM mwanafunzi akipata mimba alikuwa hana haki ya kusoma shule za Kawaida na hata sasa hana haki
Haya mambo ya haki yanahitaji elimu kubwa na ustaarabu wa muda mrefu
Ukiruhusu warudi shule hapa Tanzania hata sisi wengine tutaanza kutembea na wanafunzi kwani bado wa moto
Mataifa ya magharibi wao kila kitu mtu anatakiwa aishi atakavyo lakini usivunje katiba
Ukiwa shoga ni wewe, Ukivuta bangi ni wewe, ukitembea uchi ni wewe
Serikali ikikubali Haya mambo wanafunzi watajazwa sana mimba kwani akipata bado shule atarudi