Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Acha woga kijana. Kwanza utakuwa umeshakufa. Assumption ni kwamba wote baada ya miaka 100 ijayo hatutakuwepo. Hata anayezaliwa Leo miaka 100 ijayo atakuwa ameshakufa.Denia taifa safari hii !!
Mungu ndiye anaejua kitakachotokea .
Kwa hiyo usiogooe hata ikitokea mtu akajitolea kukupa trilion moja we chukua huwezi jua kesho itakuwaje. Unaweza zichukua halafu mtoa mkopo akafa usiku huohuo ikawa relief kwako.