Hana uwezo wa kuzisimamia hata kidogo, na usitegemee kama hilo litakuja kutokea. Ni kama hajui au hajali kinachoendelea ndani ya Serikali yake, inasikitisha sana.Kikubwa mikopo hii itumike vizuri! Ubaya ni pale Mh anapokuwa legelege kusimamia fedha ili zisiishie mifukoni mwa wajanja!