Benki ya I & M yawapiga mkwara mzito wadeni wake, kusambaza picha na madeni yao kama wakopeshaji mtandaoni

Benki ya I & M yawapiga mkwara mzito wadeni wake, kusambaza picha na madeni yao kama wakopeshaji mtandaoni

Unaogopa utatolewa kafara?
Mkinga akikukopesha na ukaweka dhamana ya nyumba au kiwanja kwa mfano. Next anakwenda kwa mganga kukuroga usikumbuke kulipa kwenye tarehe mliyopatana ili tu nyumba au kiwanja chako kipotee. Mkopeshaji mkubwa wa namna hii Mbeya ni yule aliyekuwa anamiliki mabasi ya Fitina Jirani
 
Sasa unalialia nini? Yaani unatetea watu waliochukua fedha benki halafu hawataki kulipa? Na defense yako eti privacy?
Inawezekana pia wamekumbwa na changamoto mathalani biashara walizokopea hela zimefeli etc. Kazi ya dhamana ni nini mpaka wawatangaze! Privacy breach si kitu kizuri kwa taasisi makini kama mabenki..
 
Inawezekana pia wamekumbwa na changamoto mathalani biashara walizokopea hela zimefeli etc. Kazi ya dhamana ni nini mpaka wawatangaze! Privacy breach si kitu kizuri kwa taasisi makini kama mabenki..
Kama biashara imepata matatizo nenda kwa Account Manager ukajieleze muweke mkakati wa debt restructuring. Lakini nyinyi mnakopeswa, biashara imeharibika hamuripoti. Mkipigiwa simu hamupokei na sometimes mna block number
 
Labda wameona wakopeshaji mtandaoni wamefanikiwa kwenye 'mkakati' wao wa kudai madeni. Binadamu huwa hatupendi kudhalilishwa hivyo na benki ya I & M wameamua kutumia mkakati huo huo kwa kuwatangaza wote wenye madeni sugu.

Hivi sheria inaruhusu kuanika taarifa za mtu binafsi kwa umma ama hawa wakenya wamepotoka? Na mchakato wa kukopa benki naamini una taratibu zake tofauti na mikopo ya mtandaoni ikiwemo kuweka dhamana, kwanini wasipambane na kuuza hizo dhamana!

Mbona NMB na CRDB huwa wanakubali matokeo ikitokea mikopo chechefu😉

=======

"Benki inapenda kuwataarifu wadaiwa wake pia kuwa, kukaidi taarifa hii kutachukuliwa kama kuridhia benki kuchukua hatua za ziada ikiwemo kutangaza jina lako na picha, kiasi unachodaiwa na/au kuchukua hatua Zaidi za kisheria dhidi ya mdaiwa, na/au wadhamini wa mikopo ili kuweza kurudisha pesa ulizokopa.

Benki ya I&M Bank Tanzania limited haitahusika na athari zozote zitakazotokana na matangazo ya taarifa za wadaiwa watakaokaidi taarifa /tangazo hili".


Mwananchi gazette
Benki ya wahindi hio na wanawakopesha wahindi wenzao walipuane tu!
 
Labda wameona wakopeshaji mtandaoni wamefanikiwa kwenye 'mkakati' wao wa kudai madeni. Binadamu huwa hatupendi kudhalilishwa hivyo na benki ya I & M wameamua kutumia mkakati huo huo kwa kuwatangaza wote wenye madeni sugu.

Hivi sheria inaruhusu kuanika taarifa za mtu binafsi kwa umma ama hawa wakenya wamepotoka? Na mchakato wa kukopa benki naamini una taratibu zake tofauti na mikopo ya mtandaoni ikiwemo kuweka dhamana, kwanini wasipambane na kuuza hizo dhamana!

Mbona NMB na CRDB huwa wanakubali matokeo ikitokea mikopo chechefu😉

=======

"Benki inapenda kuwataarifu wadaiwa wake pia kuwa, kukaidi taarifa hii kutachukuliwa kama kuridhia benki kuchukua hatua za ziada ikiwemo kutangaza jina lako na picha, kiasi unachodaiwa na/au kuchukua hatua Zaidi za kisheria dhidi ya mdaiwa, na/au wadhamini wa mikopo ili kuweza kurudisha pesa ulizokopa.

Benki ya I&M Bank Tanzania limited haitahusika na athari zozote zitakazotokana na matangazo ya taarifa za wadaiwa watakaokaidi taarifa /tangazo hili".


Mwananchi gazette
Tuoneshe hilo tangazo watu wametangazwa tuone, vinginevyo kalipe deni la watu na sisi tukope
 
Kama biashara imepata matatizo nenda kwa Account Manager ukajieleze muweke mkakati wa debt restructuring. Lakini nyinyi mnakopeswa, biashara imeharibika hamuripoti. Mkipigiwa simu hamupokei na sometimes mna block number

Mtu asipopatikana benki wanao utaratibu wanafanya kulingana na muda gani hajalipa..
 
Tuoneshe hilo tangazo watu wametangazwa tuone, vinginevyo kalipe deni la watu na sisi tukope

I & M.png
 
Back
Top Bottom