Mimi kama mdau mkubwa wa Sekta ya kilimo kwa nyakati tofauti tofauti nimetembelea hii benki toka izinduliwe mwaka 2015 na kujaribu kupata mkopo kwa ajili ya shughuli zangu za kilimo na wakati mwingine kujaribu kusaidia wadau wenzangu kupata mikopo lakini katika hali ya kusikitisha saana haya ni baadhi ya mambo ambayo ningependa nikujulishe mwana JF kama unajiandaa kwenda pale jua kuwa utakabiliana nayo;
1. Benki hii mpaka sasa ina matawi manne tu nchi nzima (Dar) tawi moja.
2. Niliponeda 2015 walinambia wao wanatoa mikopo kwa vikundi vidogovidogo tu (i.e AMCOS) pekee.
3. 2017 Nikawapelekea kikundi fulani hapa mkoani kwetu wakasema wao hawana Ofisi Ruvuma hivyo hawatoweza kuwasaidia labda twende NMB. Na pia wanatoa mikopo mikubwa kuanzia 50m ili kuweza kuhimili usimamizi wa mikopo nchini kwani hawana matawi sehemu nyingi na hivyo ni vigumu kusimamia huo mkopo
4. 2019 Nikarudi na kuomba mkopo kwa ajili ya ya kilmo zaidi 500m kupitia kampuni yangu na wadau wangu wachache wakatujibu kwa sasa hawana bodi ya kuweza kuwaruhusu kutoa mikopo mikubwa.
5. Nikajaribu kuomba kuonana na Mkurgenzi wao. Ni bwana mdogo saana alinipa majibu ya chooni ambayo siwezi hata kuyaweka hapa.
Nilipoenda kulalamika wizara ya kilimo wakaniambi ile benki kwa sasa ni kama haina mwelekeo na walifanya makosa wakawabidhi "vijana fulani" na wameharibu hiyo benki hivyo mda si mrefu itavuinjwa kwani imekuwa na makando kando ya kutosha...
Nawasilisha
1. Benki hii mpaka sasa ina matawi manne tu nchi nzima (Dar) tawi moja.
2. Niliponeda 2015 walinambia wao wanatoa mikopo kwa vikundi vidogovidogo tu (i.e AMCOS) pekee.
3. 2017 Nikawapelekea kikundi fulani hapa mkoani kwetu wakasema wao hawana Ofisi Ruvuma hivyo hawatoweza kuwasaidia labda twende NMB. Na pia wanatoa mikopo mikubwa kuanzia 50m ili kuweza kuhimili usimamizi wa mikopo nchini kwani hawana matawi sehemu nyingi na hivyo ni vigumu kusimamia huo mkopo
4. 2019 Nikarudi na kuomba mkopo kwa ajili ya ya kilmo zaidi 500m kupitia kampuni yangu na wadau wangu wachache wakatujibu kwa sasa hawana bodi ya kuweza kuwaruhusu kutoa mikopo mikubwa.
5. Nikajaribu kuomba kuonana na Mkurgenzi wao. Ni bwana mdogo saana alinipa majibu ya chooni ambayo siwezi hata kuyaweka hapa.
Nilipoenda kulalamika wizara ya kilimo wakaniambi ile benki kwa sasa ni kama haina mwelekeo na walifanya makosa wakawabidhi "vijana fulani" na wameharibu hiyo benki hivyo mda si mrefu itavuinjwa kwani imekuwa na makando kando ya kutosha...
Nawasilisha