Benki ya NMB boresheni huduma zenu kwa wateja

Benki ya NMB boresheni huduma zenu kwa wateja

F4B

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
336
Reaction score
429
Nilikuwa safari yangu kuelekea Chato nikasimama mji mdogo wa Katoro nje kidogo ya Geita, nikaenda sehemu kupata huduma ya vitu mbalimbali kisha nikaona nikiapate huduma ya kifedha na mambo mengine katika tawi la NMB KATORO.

Ee bwana wahudumu wa tawi hili costmer care yao ya hovyo sana pia wahudumu wa sehemu hii hawana utaratibu mzuri wa wateja kuhudumiwa kabisa wateja mnalundikwa tu.

Mbaya zaidi wahudumu wa customer care wanaweza kuondoka kwenda kunywa chai zaidi ya saa nzima na kuacha msululu wa wateja wamejipanga.

Meneja wa tawi naye yupo.

NMB Makao makuu mjaribu kuwaboost na kuwakumbusha wajibu wao hawa watu.
 
Sijawachomea bali nimetoa ushauri wawaboot, watu wanahitaji huduma bora sio mtu akitaka kwenda bank aanze kuwaza.Hebu fikilia kuna mtu nilimkuta pale ana masaa mawili isuue yake ni kuulizia tu kadi yake imekamilika au bado lakini amewekwa kwenye foleni masaa yote hayo. huu sio uungwana yaani rasilimali muda hatuijali kabisa.
 
Nilikuwa safari yangu kuelekea Chato nikasimama mji mdogo wa Katoro nje kidogo ya Geita, nikaenda sehemu kupata huduma ya vitu mbalimbali kisha nikaona nikiapate huduma ya kifedha na mambo mengine katika tawi la NMB KATORO.

Ee bwana wahudumu wa tawi hili costmer care yao ya hovyo sana pia wahudumu wa sehemu hii hawana utaratibu mzuri wa wateja kuhudumiwa kabisa wateja mnalundikwa tu.

Mbaya zaidi wahudumu wa customer care wanaweza kuondoka kwenda kunywa chai zaidi ya saa nzima na kuacha msululu wa wateja wamejipanga.

Meneja wa tawi naye yupo.

NMB Makao makuu mjaribu kuwaboost na kuwakumbusha wajibu wao hawa watu.
Hata kipindi cha kombe la dunia Qatar wakenya walipewa shavu sana

Kuna hoteli hapa hapa Tanzania wakenya wamejaa kwa sababu wanajua umuhimu wa "good customer service"
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Hata kipindi cha kombe la dunia Qatar wakenya walipewa shavu sana

Kuna hoteli hapa hapa Tanzania wakenya wamejaa kwa sababu wanajua umuhimu wa "good customer service"
Kabisa kiongozi watu wamesajiliwa customer care lkn hawajui wanafanya nini? Pale matokeo yake foleni haziishii.Ila hata Mameneja wa haya matawi wa NMB sijui hawana Authority????
 
Nilikuwa safari yangu kuelekea Chato nikasimama mji mdogo wa Katoro nje kidogo ya Geita, nikaenda sehemu kupata huduma ya vitu mbalimbali kisha nikaona nikiapate huduma ya kifedha na mambo mengine katika tawi la NMB KATORO.

Ee bwana wahudumu wa tawi hili costmer care yao ya hovyo sana pia wahudumu wa sehemu hii hawana utaratibu mzuri wa wateja kuhudumiwa kabisa wateja mnalundikwa tu.

Mbaya zaidi wahudumu wa customer care wanaweza kuondoka kwenda kunywa chai zaidi ya saa nzima na kuacha msululu wa wateja wamejipanga.

Meneja wa tawi naye yupo.

NMB Makao makuu mjaribu kuwaboost na kuwakumbusha wajibu wao hawa watu.
NMB sina hamu nao. Nilitumiwa hela kutokea taasisi nyingine kwenda NMB , wenzangu walitumiwa kupitia CRDB, wenzangu walipata baada ya masaa 3, Mimi ilichukua nusu mwezi!!
 
NMB sina hamu nao. Nilitumiwa hela kutokea taasisi nyingine kwenda NMB , wenzangu walitumiwa kupitia CRDB, wenzangu walipata baada ya masaa 3, Mimi ilichukua nusu mwezi!!
Hatari sana hii benk sijui huwa wanawaza nini?
 
Nilishaondoka mkuu niko Chato
 
Back
Top Bottom