Benki ya posta imekumbwa na nini?

uberimae fidei

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,679
Reaction score
4,283
Karibu wiki ya pili sasa hii benk imekua na tatizo,wazee wanatoka mbali kufuata huduma wanafika wanaambiwa network hakuna,wanajikuta wakikaa masaa mengi sana kusubiria wapate huduma za kifedha,ni kero kubwa,ATM hazitoi Pesa,ndani nako vile vile Pesa haitoki,kila mahali hivyo hivyo.
Inataka moyo kua na akaunti benk ya posta.
 
usikute ipo mwelekeo wa Twiga bank?? maana kuna habari za mtikisiko wa sekta ya fedha
 
benki ya wazee na wastaafu
 
Heading imezungumzia hitilafu kwenye Tawi la Bank ya Posta Au imezungumzia Bank ya Posta?

Rejea kasome heading
dah kuna utata kwamba jamaa kazunguka matawi yote kakuta yana tatizo au ka generalize kutokana na baadhi ya matawi alitombelea.
 
dah kuna utata kwamba jamaa kazunguka matawi yote kakuta yana tatizo au ka generalize kutokana na baadhi ya matawi alitombelea.
Juzi nilikua posta dar es salaam nikaona ilo swala siku nzima hakujua na network,nikaenda Kariakoo ndo hivyo hivyo mpaka Tegeta wakasema ni kote,Leo asubuhi Kimara nikasogea mpaka pwani swala ndo ilo ilo imekuja kukubali kuanzia sa tano
 
Hivi Sasa nipo ndani ya Bank ya Posta hapa Azikiwe street Jijini Dar Es salaam Na huduma zinaendelea Kama kawaida
Asubuhi kuanzia sa tatu kulikua hakuna huduma acha ubishi,ilikuja kukubali kama sa tano hivi sehemu nyingine sa nne
 
Asubuhi kuanzia sa tatu kulikua hakuna huduma acha ubishi,ilikuja kukubali kama sa tano hivi sehemu nyingine sa nne

kuacha ubishi maana yake nisiamini transaction niliyofanya Mwenyewe ndani ya bank nije kuamini Maelezo yanayotolewa Na Mtu asiejulikana kwenye Mitandao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…