Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,413 Reaction score 4,020 Sep 2, 2015 #1 Nimeomba mkopo wa biashara benki ya posta miezi 2 sasa hakuna jibu, niliomba milioni nane nikaweka nyumba ya m75 nimeidhinishiwa m3, na bado longo longo kibao, system wanadai zimefeli. Hilo linawezekana kwa uendeshaji wa benki ?
Nimeomba mkopo wa biashara benki ya posta miezi 2 sasa hakuna jibu, niliomba milioni nane nikaweka nyumba ya m75 nimeidhinishiwa m3, na bado longo longo kibao, system wanadai zimefeli. Hilo linawezekana kwa uendeshaji wa benki ?
GreenCity JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 5,796 Reaction score 4,497 Sep 2, 2015 #2 Aisee! Hii nchi inaniumiza sana!
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,413 Reaction score 4,020 Sep 2, 2015 Thread starter #3 hivyo wenye benki wanajua kuwa mkopo wa shilingi milioni 3 wenye dhamana ya milioni 75 unachukua Zaidi ya miezi mitatu!
hivyo wenye benki wanajua kuwa mkopo wa shilingi milioni 3 wenye dhamana ya milioni 75 unachukua Zaidi ya miezi mitatu!