Nilikopa ikabaki miezi 3 nikaongeza mkopo na kulipa ule uliobaki kwa mkopo mpya.makubaliano ilikuwa wasimamishe makato ya zamani au warejeshe hicho kiasi kila mwezi kinapoingia toka hazina.hakuna kilichofanyika.nikiuliza nakemewa kama pepo.nifanyenje?naomba msaada kwenu wana JF