NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 408
Jarida la African Business linalochapishwa jijini London Uingereza limetoa orodha ya benki 100 ambazo zimefanya vizuri kwa kipindi cha mwa ka 2012,na miongoni mwao ni benki za NMB na CRDB ambazo zimetajwa katika orodha ya 87 na 94.
Benki tano za Afika kusini ndio zimeongoza orodha hiyo,huku namba moja ikiwa ni Standard Bank Group.
NMB inatajwa kuwa na mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 270(Data za Desemba 2011) na CRDB ikiwa na mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 240(Data za Desemba 2012).
Kwa Afrika Mashariki ni nchi mbili tu ambazo sekta ya kibenki imeonekana kuwa na uimara, ambazo ni Tanzania na Kenya.
Medium Banks Challenge South African Dominance
What bank ranking means for TZ economy - Business - thecitizen.co.tz
Benki tano za Afika kusini ndio zimeongoza orodha hiyo,huku namba moja ikiwa ni Standard Bank Group.
NMB inatajwa kuwa na mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 270(Data za Desemba 2011) na CRDB ikiwa na mtaji wa kiasi cha shilingi bilioni 240(Data za Desemba 2012).
Kwa Afrika Mashariki ni nchi mbili tu ambazo sekta ya kibenki imeonekana kuwa na uimara, ambazo ni Tanzania na Kenya.
Medium Banks Challenge South African Dominance
What bank ranking means for TZ economy - Business - thecitizen.co.tz