Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
tumezoea kusikia kwamba benki A huwai kuwawekea mikopo wanafunzi wao kuliko benki B ambayo watu usema mikopo huchelewa sana... je nikweli kunakuwa na hujuma zinafanywa kwa maksudi ili tuwaone hawapo makini katika ufwatiliaji au ni njia tu ya kujitetea??