Malumbo wa ngullo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,246
- 11,011
Kweli mkuu Hawa jamaa wanatuona wapumbavu...Mkuu million 25, usifungulie Uzi wa kipumbavu pumbavu.
Leteni source ya hii habari kwanza, kabla sijaenda mbali Kuna mda lazma utumie akili kujenga hoja kuliko kuongea ilimradi umeongea,
Screenshot ulete hapapage ya facebook rs
Hapana ila nimewahi kutafiti na kupata undani wa hiyo biashara.. nawajua wengi sana na nilitaka kujua chanzo cha hao wakopaji na hata wanaokopeshwa mwishoni nikaja gundua wote wako sahihi kwa makubaliano yao..mkuu ni sehemu yao nini? umekuwa mkali sana. Wakuu wa mikoa mingine waige hawa watu wanamatawi mikoa yote, mikataba haramu mingine mpaka hakimu anahusishwa. nimesoma mahali mkataba hauwezi kuwa halali kama kinachoingiwa mkataba ni haramu.
Dunia ina mengi mkuu, wapo wanaoliwa kijinga hivyo. Nimeshuhudia hayo.
Mtu ambaye hana hata akiba wa rafiki wa kumpa 1M mpaka akakopa, anawezaje kurudisha 21M ??Elezea uongo uko wapi, hii Dunia Ina mambo mengi hebu pinga kwa facts...
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ameagiza ndugu Chogo Marwa kukamatwa kwa tuhuma za kutoa mikopo ya kitaperi kwa wananchi. Moja ya masharti ya mikopo hiyo ni kukabidhi kadi ya ATM pamoja na namba ya siri. mmoja wa waathirika wa mikopo hiyo amekopa shilingi milioni moja na kutakiwa kurudisha milioni 25 na tayari ameshalipa milioni 21
Sijaelewa movie hii
Labda mkopo million 1 dollars, liba million 25 TshsMkuu huu uongo, million moja kwa million 25? Nakataa.
Aiseee huu uongo, how? Hata Kama huna akili haiwezi kuingia akilini hii
Hahaha kweli aiseeLabda mkopo million 1 dollars, liba million 25 Tshs
Alikabidhi ATM card na password peke yake una uhakika, au alikabidhi na familia yake na kila kitu, halafu kuna watu wanamwambia asipolipa watauwawa au?!Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ameagiza ndugu Chogo Marwa kukamatwa kwa tuhuma za kutoa mikopo ya kitapeli kwa wananchi.
Moja ya masharti ya mikopo hiyo ni kukabidhi kadi ya ATM pamoja na namba ya siri. Mmoja wa waathirika wa mikopo hiyo amekopa shilingi milioni moja na kutakiwa kurudisha milioni 25 na tayari ameshalipa milioni 21
Mkuu huu uongo, million moja kwa million 25? Nakataa.
Aiseee huu uongo, how? Hata Kama huna akili haiwezi kuingia akilini hii
Hiyo kidogo inaweza kuja, Sasa hili la 1m for 25m? Huo mkopo unalipwa kwa miaka mingapi, maana hata ukiwa unalipa laki5 kila mwezi itakuchukua miaka4 na miezi 2 kumaliza huu mkopo?Usibishe mkuu..kule bunju mwisho kuna mchungaji m1 wa makanisa ya kilokole anakopesa zaidi ya riba 100.hahahaa..ukikopesha laki 1..unatoa kila siku 12..kwa mwez m1...wamama w bunju sokon wameumizwa sana na huyu mchungaj..mke wake ndo daily unamkuta kitaa anachukua marejesho..niliona uchungu sana...nikawapa maelezo atleast waelewa hata maana ya kukokotoa kidg riba...nashukuru Mungu walielewa..wakamhama..yule mchungaji alaanike .eti ukipewa laki 5 unarudisha milion hahhaaa nyoko zao
Hiyo kidogo inaweza kuja, Sasa hili la 1m for 25m? Huo mkopo unalipwa kwa miaka mingapi, maana hata ukiwa unalipa laki5 kila mwezi itakuchukua miaka4 na miezi 2 kumaliza huu mkopo?
Usikatae sababu hayajakukuta, kuna rafk yangu kabisa alishakopa laki 3, na akaishia kulipa Mili1 laki 6, unaambiwa ni riba hyo. Na unavyochelewa kutowalipa ndio riba inavyozidi kuongezeka. Tena na mahabusu hawachelewi kukulaza. Kwakweli hao watu ni wakuangaliwa upya. Vinaitwa Vibanda umizaMkuu huu uongo, million moja kwa million 25? Nakataa.
Aiseee huu uongo, how? Hata Kama huna akili haiwezi kuingia akilini hii