Benki zingatieni ili kutuepusha na matapeli

Benki zingatieni ili kutuepusha na matapeli

Joined
Oct 26, 2021
Posts
99
Reaction score
294
Tunaziomba Benki kuweka utaratibu uliokuwa bora na sahihi kwenye ATM asa kwa watu ambao watasaidia kuwaelekeza watu ambao hawana uelewa mpana wa matumizi ya ATM.

Nayasema haya kwa maana juzi juzi tu hapa kuna mzee aliingia ATM kutoa ela ila baada ya kuchelewa kutoka kuna kijana alijitokeza kumsaidia sijui imekuaje ila mzee anakuja kusanuka baada ya wiki mbili kaibiwa zake Milioni 20. So imagine kama kungekuwa na watu sahihi wa kumsaidia yule mzee angeibiwa kweli?!.
 
Tunaziomba Benki kuweka utaratibu uliokuwa bora na sahihi kwenye ATM asa kwa watu ambao watasaidia kuwaelekeza watu ambao hawana uelewa mpana wa matumizi ya ATM.

Nayasema haya kwa maana juzi juzi tu hapa kuna mzee aliingia ATM kutoa ela ila baada ya kuchelewa kutoka kuna kijana alijitokeza kumsaidia sijui imekuaje ila mzee anakuja kusanuka baada ya wiki mbili kaibiwa zake Milioni 20. So imagine kama kungekuwa na watu sahihi wa kumsaidia yule mzee angeibiwa kweli?!.
Abiria chunga mzigo wako..kwanini uombe msaada kutoka kwa mtu baki tu usimfahamu?? na kuacha kwenda na ndugu wa karibu au kuomba msaada kwa wahusika?? Mimi binafsi nilishawahi kumsema jamaa kwny ATM aliniomba msaada nimsaidie kutoa pesa..nilimsaidia na nikampa makavu hapo hapo. Bora uombe msaada kwa walinzi wale kama ATM itakua mbali na benki and so on lakn sio kwa mtu baki tu. Utapigwa mpk akili ikukae sawa
 
Kikulacho ki nguoni mwako.. Always haya mambo yana inside job
 
Back
Top Bottom